Kwanini nguruwe hauzwi minadani kama mbuzi, kondoo, ng'ombe na kuku?

Kwanini nguruwe hauzwi minadani kama mbuzi, kondoo, ng'ombe na kuku?

Huwa natafta sheikh mmoja aniambie, Tourat ndio msingi wa sheria za Mungu. Kwa msingi huo hata samaki Kambale ni haram, Sungura ni haram, Bata ni haram kuliwa, lakini mbona wenzetu wamemshikilia Kitimoto pekeake? Hii sio haki
Yesu alivitakasa vyote mkuu. Turudi kwenye agenda husika Sasa.
 
Jf saalam.

Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.

Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?

Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.

Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Your lost
Wale hawana cha sokoni wananunuliwa moja kwa moja mabandani jinsi walivyo na thamani
 
Nchi ina waislam na waislam hawapendi nguruwe ndio maana hauzwi minadani kama wanyama wengine. Ila hapohapo mnadani utakuta kuna eneo nyama za nguruwe zinauzwa na kuliwa hadharani
Hapo ndo msingi wa swali langu. Tutoke tu Nje na Imani zetu kidogo maana. Nyama kuuzwa inauzwa bila kificho kabisa na mabango makubwa tu. Lkn mnadani huwezi ona
 
Back
Top Bottom