BUKU 1 800
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 1,175
- 2,125
Nguruwe hachungwiNimeona mara kadhaa wakichungwa mkuu. Halafu swala la utata mbona linadhibitiwa tu Kwa kujengewa maeneo rafiki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nguruwe hachungwiNimeona mara kadhaa wakichungwa mkuu. Halafu swala la utata mbona linadhibitiwa tu Kwa kujengewa maeneo rafiki?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Mnyama hayupo ila nyama ipo inaliwa. Akili kichwaniNchi ina waislam na waislam hawapendi nguruwe ndio maana hauzwi minadani kama wanyama wengine. Ila hapohapo mnadani utakuta kuna eneo nyama za nguruwe zinauzwa na kuliwa hadharani
Unatumia TIGO?Hapana Mimi mtandao wangu pendwa ni
Huwa natafta sheikh mmoja aniambie, Tourat ndio msingi wa sheria za Mungu. Kwa msingi huo hata samaki Kambale ni haram, Sungura ni haram, Bata ni haram kuliwa, lakini mbona wenzetu wamemshikilia Kitimoto pekeake? Hii sio hakiKwa sababu nguruwe ni haram
Naichukua hii pointmy wetu anasemwa kila dakika,ok kwa uelewa wangu ni mnyama ambaye,demand yake n kubwa kuliko supply so kabla hajakomaa ameshafanyiwa booking sasa kuna haja gan kumpeleka mnadani?
Sasa tbc na huyo mdudu wapo pamoja sana nashangaa unavyompigia promo aiseeeHapana Mimi mtandao wangu pendwa ni huku jf na x Kwa mbali Facebook tbc ni miaka zaidi ya8 Sina habar nayo japo Huwa nawaona huko mitandaoni
Wewe unatoa tigo mkuu?Unatumia TIGO?
Nauliza tu mkuu. Sio pro Wala istoshe wapo hata nyama ya mbuzi hawali pia hivyo mi nazungumzia in general sio kidiniSasa tbc na huyo mdudu wapo pamoja sana nashangaa unavyompigia promo aiseee
Yesu alivitakasa vyote mkuu. Turudi kwenye agenda husika Sasa.Huwa natafta sheikh mmoja aniambie, Tourat ndio msingi wa sheria za Mungu. Kwa msingi huo hata samaki Kambale ni haram, Sungura ni haram, Bata ni haram kuliwa, lakini mbona wenzetu wamemshikilia Kitimoto pekeake? Hii sio haki
Unatoa TIGO? Kiasi gani unatoa?Wewe unatoa tigo mkuu?
Moshi Kuna maeneo kabisa yameandika pata nyama ya kitimoto hapa/Kitimoto ipo. Lakini ukienda mnadani hukutiVitu adimu na vyenye thamani havionekani kila mahali ,🤣🤣🤣
Sasa mkuu naona unataka ugomvi..Nauliza tu mkuu. Sio pro Wala istoshe wapo hata nyama ya mbuzi hawali pia hivyo mi nazungumzia in general sio kidini
Your lostJf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Hapo ndo msingi wa swali langu. Tutoke tu Nje na Imani zetu kidogo maana. Nyama kuuzwa inauzwa bila kificho kabisa na mabango makubwa tu. Lkn mnadani huwezi onaNchi ina waislam na waislam hawapendi nguruwe ndio maana hauzwi minadani kama wanyama wengine. Ila hapohapo mnadani utakuta kuna eneo nyama za nguruwe zinauzwa na kuliwa hadharani
Basi na Mimi mmoja wao wasio nijua mkuu.Wanasema hivi mchawi hajijui!
Copy copyYour lost
Wale hawana cha sokoni wananunuliwa moja kwa moja mabandani jinsi walivyo na thamani
Hii ni kweli mkuu ila tambua Kuna sehemu wafugaji ni wengi sana.Ukitangaza kwamba una nguruwe 10 unauza, siku hiyohiyo wanaisha,