Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sitaki kumkwaza mtu 😂😂🙌🙌Sasa mkuu naona unataka ugomvi..
For better advice..
Utapigwa 😂😂😂😂
Kwa nani na nani huo uharamu?Kwa sababu nguruwe ni haram
Pia mkuu ukienda nanenane kwenye maonyesho utakuta mabanda mengi tu ya nguruwe wanauzwa ila mnadani hukuti.Nchi ina waislam na waislam hawapendi nguruwe ndio maana hauzwi minadani kama wanyama wengine. Ila hapohapo mnadani utakuta kuna eneo nyama za nguruwe zinauzwa na kuliwa hadharani
Mdudu ni mdudu tu mkuu! Hata higyo mmempa majina mengi sanaKwenye mdudu weka kitimoto mkuu utatisha sana.
Umenisoma!Basi na Mimi mmoja wao wasio nijua mkuu.
Hata meli ni chombo cha usafiri, kwanini kisipaki stendi ya magufuli?Hapana mkuu sijawahi. Nguruwe ni mnyama kama wanyama wengine tu. Kwanini asiuzwe mnadani?
zanzibar kama nchi itashangaza sana kama mnyama nguruwe hayupo kisa dini ya kiislamWakuu kwa hapa Zanzibar ntapata wapi kitimito(nguruwe) maana nataka nipate kitoweo???
Uko sahihi kabisazanzibar kama nchi itashangaza sana kama mnyama nguruwe hayupo kisa dini ya kiislam
Nguruwe hauzwi minadani kwa sababu ya sheria za kidini na tamaduni nyingi. Katika dini kama Uislamu na Uyahudi, nguruwe anachukuliwa kuwa mnyama asiye safi, na hivyo kula au kuuza nyama yake ni haramu. Pia, kuna mitazamo katika baadhi ya tamaduni inayohusisha nguruwe na uchafu, ingawa kimaumbile ni wanyama wenye akili na wanaweza kuwa safi. Hivyo, kutokana na imani hizo na maadili ya jamii, nguruwe hawezi kuuzwa katika maeneo kama minada.Jf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Jf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Mkuu kumbe sisi majirani karibu baadae nitakuwa G8, then motel namalizia santos kwa warembo siunajua ijumaa leo.Randa pia naona wanazurura
Haha hapana ninayajua maeneo ya huko vizuri... leo ijumaa kuna mnada hapoMkuu kumbe sisi majirani karibu baadae nitakuwa G8, then motel namalizia santos kwa warembo siunajua ijumaa leo.
Karibu Obwere
😂😂😂😂ko unamvutia tu mwana simu Oya nimependa haka kanguruwe kenye mabaka meusi, vp bei gani? 'Hako nipe laki na nusu mkuu'Kule wanafugwa kama kuku, wanafunguliwa asubuhi jioni wanarudi wenyewe zizini. Ukimpenda nguruwe wa mtu mnauziana popote pale
Mnada kwa shirati j3 leo nadhani ni randaHaha hapana ninayajua maeneo ya huko vizuri... leo ijumaa kuna mnada hapo
Ndio Shirati ni jumatatu, Randa ni Ijumaa, Utegi ni Alhamisi, Tarime ni Jumapili na Sirari ni Jumamosi kama nitakua sijasahauMnada kwa shirati j3 leo nadhani ni randa