Kwanini nguruwe hauzwi minadani kama mbuzi, kondoo, ng'ombe na kuku?

Kwanini nguruwe hauzwi minadani kama mbuzi, kondoo, ng'ombe na kuku?

1. Nguruwe ni wachafu (ni najisi)
2. Wanakula kila kitu hata mtoto akijichanganya anaweza kuliwa
3. Kinyesi chao kina harufu kali (kama cha mtu)
4. Kwa kuwa ni Herbivores kinyesi chao kinaweza kuambukiza magonjwa kwa kwa urahisi
5. hawatulii sehemu moja kama wanyama wengine
6. Nk nk nk
Ukisema najis Kuna watu wengine hawana Imani ya dini hizo.

Ukija kwenye utulivu mbona kwenye nanenane Huwa tunawaona wamedhibitiwa vizuri tu?
 
Nguruwe hauzwi minadani kwa sababu ya sheria za kidini na tamaduni nyingi. Katika dini kama Uislamu na Uyahudi, nguruwe anachukuliwa kuwa mnyama asiye safi, na hivyo kula au kuuza nyama yake ni haramu. Pia, kuna mitazamo katika baadhi ya tamaduni inayohusisha nguruwe na uchafu, ingawa kimaumbile ni wanyama wenye akili na wanaweza kuwa safi. Hivyo, kutokana na imani hizo na maadili ya jamii, nguruwe hawezi kuuzwa katika maeneo kama minada.
Tukiondoa sababu za Imani Kuna sababu nyingine Nje na hapo maana Nchi hii Haina Dini.


Hata kwenye maonyesho ya nanenane Huwa tunawaona mkuu
 
Wanunuzi wa nguruwe huenda moja kwa moja kununua nguruwe wanakofugwa. Labda tuseme nguruwe ni wachache kuliko wanyama wengine wauzwao minadani na soko lake ni kubwa kutokana na kuhitajika, yaani high demand, low supply
Hii Nakubali kuwa wanunuzi wengi wafugaji wachache....wanafatwa hapohapo getoni√√
 
Jf saalam.

Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.

Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?

Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.

Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Kwa Sababu walahi wengi na nguruwe wachache sana!
Hivyo Wanafuata mazizini tu hakuna haja ya kuwapeleka minadani!
 
Sawa mkuu,, lakini hii sio sawa.
Kwa Nini Imani yao itupe shida sisi wengine?
Hata Mimi naunga nawewe kuwa sio sawa kabisa. Na kama Nchi wameshafanya kosa kubwa sana. Ila Kwa macho ya kawaida tu Zanzibar sidhani kama utaruhusiwa ila najua walaji ni wengi sana kule.
 
Hata Mimi naunga nawewe kuwa sio sawa kabisa. Na kama Nchi wameshafanya kosa kubwa sana. Ila Kwa macho ya kawaida tu Zanzibar sidhani kama utaruhusiwa ila najua walaji ni wengi sana kule.
Kweli ni vigumu kuipata huku,,Kama tuu mwezi wa mfungo hairuhusiwi kula hadharani,je hii nyama yetu sindio hatari zaidi.
 

Attachments

  • Screenshot_20240319-190600~2.jpg
    Screenshot_20240319-190600~2.jpg
    67.2 KB · Views: 2
Jf saalam.

Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.

Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?

Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.

Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Hawachungiki kirahisi kama mbuzi au ng'ombe,kama ilivyokuwa kwa kuku.
 
Back
Top Bottom