Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #141
Utulivu sio sababu. Anaweza zibitiwa Kwa kujengewa sehemu maalumu na akauzwa vzr tu. Mbona kwenye name name Huwa tunawaona mkuu?Kakosa utulivu yule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utulivu sio sababu. Anaweza zibitiwa Kwa kujengewa sehemu maalumu na akauzwa vzr tu. Mbona kwenye name name Huwa tunawaona mkuu?Kakosa utulivu yule
Ukisema najis Kuna watu wengine hawana Imani ya dini hizo.1. Nguruwe ni wachafu (ni najisi)
2. Wanakula kila kitu hata mtoto akijichanganya anaweza kuliwa
3. Kinyesi chao kina harufu kali (kama cha mtu)
4. Kwa kuwa ni Herbivores kinyesi chao kinaweza kuambukiza magonjwa kwa kwa urahisi
5. hawatulii sehemu moja kama wanyama wengine
6. Nk nk nk
Tukiondoa sababu za Imani Kuna sababu nyingine Nje na hapo maana Nchi hii Haina Dini.Nguruwe hauzwi minadani kwa sababu ya sheria za kidini na tamaduni nyingi. Katika dini kama Uislamu na Uyahudi, nguruwe anachukuliwa kuwa mnyama asiye safi, na hivyo kula au kuuza nyama yake ni haramu. Pia, kuna mitazamo katika baadhi ya tamaduni inayohusisha nguruwe na uchafu, ingawa kimaumbile ni wanyama wenye akili na wanaweza kuwa safi. Hivyo, kutokana na imani hizo na maadili ya jamii, nguruwe hawezi kuuzwa katika maeneo kama minada.
Hii Nakubali kuwa wanunuzi wengi wafugaji wachache....wanafatwa hapohapo getoni√√Wanunuzi wa nguruwe huenda moja kwa moja kununua nguruwe wanakofugwa. Labda tuseme nguruwe ni wachache kuliko wanyama wengine wauzwao minadani na soko lake ni kubwa kutokana na kuhitajika, yaani high demand, low supply
Meli ni Cha majini stend Nchi kavu ndo utofauti huo mkuu hata gari hawezi tia nanga mkuuHata meli ni chombo cha usafiri, kwanini kisipaki stendi ya magufuli?
Kama huku bara mnadani haionekani huko utapata kweli mkuu? Sijawahi fika Endelea kuulizia ila wakikuomba no ya simu usitoe sio wazuri hao.Wakuu kwa hapa Zanzibar ntapata wapi kitimito(nguruwe) maana nataka nipate kitoweo???
Kwa Sababu walahi wengi na nguruwe wachache sana!Jf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Sawa mkuu,, lakini hii sio sawa.Kama huku bara mnadani haionekani huko utapata kweli mkuu? Sijawahi fika Endelea kuulizia ila wakikuomba no ya simu usitoe sio wazuri hao.
Hata Mimi naunga nawewe kuwa sio sawa kabisa. Na kama Nchi wameshafanya kosa kubwa sana. Ila Kwa macho ya kawaida tu Zanzibar sidhani kama utaruhusiwa ila najua walaji ni wengi sana kule.Sawa mkuu,, lakini hii sio sawa.
Kwa Nini Imani yao itupe shida sisi wengine?
Naam hii ni kweli wengi wamechangia kama wewe mkuu. SipingiKwa Sababu walahi wengi na nguruwe wachache sana!
Hivyo Wanafuata mazizini tu hakuna haja ya kuwapeleka minadani!
Kweli ni vigumu kuipata huku,,Kama tuu mwezi wa mfungo hairuhusiwi kula hadharani,je hii nyama yetu sindio hatari zaidi.Hata Mimi naunga nawewe kuwa sio sawa kabisa. Na kama Nchi wameshafanya kosa kubwa sana. Ila Kwa macho ya kawaida tu Zanzibar sidhani kama utaruhusiwa ila najua walaji ni wengi sana kule.
Mwamba huyu hapa
Basi apelekwe mnadani kama wanyama wengine mkuu.Huyo ni mnyama kama ilivyo Kwa kondoo nk.
Hawachungiki kirahisi kama mbuzi au ng'ombe,kama ilivyokuwa kwa kuku.Jf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Angalia comment no12 mkuu. Inawezekana kabisa mbona.Hawachungiki kirahisi kama mbuzi au ng'ombe,kama ilivyokuwa kwa kuku.
Ndo nauliza sababu ya kutokupelekwa Ili Hali huko kwenye maonyesho ya nanenane wapoBasi apelekwe mnadani kama wanyama wengine mkuu.