Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
Njoo hapa Mkako Songea wanauzwa kama njugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ni wazo zuri la biashara umeliona wewe, peleka haraka.Jf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Nguruwe ni mtaarabu hatakiwi kunadishwa kama mtumwa, na ukijaribu kumtendea hivyo wote mtaukimbia mnada wenu.Jf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Kila mtu hununua alichopanga mkuu.Unataka mifugo wengine wakose soko
Mimi Sio mfugaji mkuuHilo ni wazo zuri la biashara umeliona wewe, peleka haraka.
Nguruwe ni superstar wewe. Huwezi muona hovyo hovyoJf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Siyo kweli mkuu. Angalia comment no12. Pia kama ushawahi enda nanenane bila shaka umewahi kuwaonaKwa sababu nguruwe watachimba eneo la mnada na yale mapua
Utani huuNguruwe ni superstar wewe. Huwezi muona hovyo hovyo
Yakiwekwa mazingira rafiki tu anauzwa vizuri tuNguruwe ni mtaarabu hatakiwi kunadishwa kama mtumwa, na ukijaribu kumtendea hivyo wote mtaukimbia mnada wenu.
Kasema nani?Kwa sababu nguruwe ni haram
Wanaweza ondoka na kichwa Cha mtu wale jamaa.Kweli ni vigumu kuipata huku,,Kama tuu mwezi wa mfungo hairuhusiwi kula hadharani,je hii nyama yetu sindio hatari zaidi.
Kashfa nyingine tena. Dah!Kwa sababu nguruwe ni haram
Sawa, mnakuwa rafiki yake.Yakiwekwa mazingira rafiki tu anauzwa vizuri tu
Wanazingua kinomaWanaweza ondoka na kichwa Cha mtu wale jamaa.
A-Aaa,Mkuu; Umesema "Tangu nianze kutembelea minada mikubwa" halafu tena hujataja ni wapi. Kumbe ww ulilenga made in hapa-hapa? Hukunyoosha maneno broo.Mkuu Mimi na zungumzia hpa kwetu wewe umenipaisha Hadi uchina. ambako hata ndoto za kufika huko Sina.
Bro tuheshimianeHawachungiki kirahisi kama mbuzi au ng'ombe,kama ilivyokuwa kwa kuku.
Simple!Jf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Oh! Nyama yote inaisha pale pale machinjioni. Siku ikiwa nyingi kidogo inamalizikia njiani hata haifiki pale kwa mangi.Sina hakika kama kelele pekee ndo inaweza kuwa chanzo Cha kutompeleka mnadani