Kwanini nguruwe hauzwi minadani kama mbuzi, kondoo, ng'ombe na kuku?

Kwanini nguruwe hauzwi minadani kama mbuzi, kondoo, ng'ombe na kuku?

Siyo sababu ni haramu, hata binadàmu hauzwi mnadani si kwa kuwa ni haramu.
Ah bhana! Mambo mengine ni kuyanyamazia tuu kwa sababu hao-hao wanaosema hichi Haram kile ni najis hii ni sunn'ah etc ndo hao hao waliokuwa wanaendesha ule mnada pale Bagamoyo karibu na deep sea pembeni ya lile kanisa (wanapokaanga samaki) huku babu zetu wakiwa na ile minyororo miguuni wamefungwa kwenye yale matofali ya zege na wanunuzi wakiwapekenyua watumwa hao mdomoni na etc kuona kama meno yote yapo intact n.k. Ni Aibu yao milele- ndo mana sijui kama itakaa itokee siku niwapende hao majamaa.
 
Tukiondoa sababu za Imani Kuna sababu nyingine Nje na hapo maana Nchi hii Haina Dini.


Hata kwenye maonyesho ya nanenane Huwa tunawaona mkuu
Sababu kuu ni dini, kwa kuheshimu baadhi ya wananchi wenye imani zao ambao zinawakataza kutotumia hao wanyama hata kama nchi haina dini. Na tunashukuru kwa watanzania kwa ujumla wao wameweza kuvumiliana na kushirikiana katika mambo yao ya kijamii bila kujali imanai au itikadi zao.
 
Jf saalam.

Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.

Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?

Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.

Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Mkuu lekebisha hapo..Hakuna MTU anae Mpendwa Nguruwe,Bali Nguruwe upendwa na Nguruwe wenzio...
 
Back
Top Bottom