kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
kwasababu
sisi waislam ,tumejivicha kwenye uchinjaji wa ng'ombe ,minada ya wazi hiyo ni ngao yetu
sisi waislam ,tumejivicha kwenye uchinjaji wa ng'ombe ,minada ya wazi hiyo ni ngao yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umeleta katoi hapaBro tuheshimianeView attachment 3140366
Kwani ng'ombe na mbuzi ndo rafiki zetu?Sawa, mnakuwa rafiki yake.
Kwa hyo kwa akili zenu jibu tayari kwa nn kuku ana keleĺe na yupo mnadani😅😅😅😅🤣 umemaliza kila kitu
Bro tuheshimianeMbona umeleta katoi hapa
Umemaliza.Kizuri Chajiuza kibaya chajitembeza
Wanakwepa jibu kwa vle linachoma hahaaaHapana mkuu sijawahi. Nguruwe ni mnyama kama wanyama wengine tu. Kwanini asiuzwe mnadani?
Ojhj kwa hyo mnakula yaliyorushuwa mapempoooo nimekupata yaWewe utakua unajibu lako unalolitafuta, unaelewa maana ya luxurious meat ? Mzee hata soko ni uhakika...nguruwe utamkuta saa ngapi anasubiri kununiliwa mnadani ? Lakini nature yake tu pia kuanzia kidini Ndugu zetu wanaweza wasinunue chochote kwenye huo mnada....
Alafuu yule si mnyama anaeswaga ukiwatoa kuwapeleka kwenye mnada unaweza usirudi nae hata mmoja...wanafujo na kimbia kimbia unaweza ukasema Yesu amerudi na tayari ashawarushia mapepo tena...
Huyo mnyama ni najis tangu enzi za nabii musa, mwenye masikio na asikieJf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Kwaio kama bibi yako alikua ana mapepo wajukuu nao watazaliwa nayo ?Ojhj kwa hyo mnakula yaliyorushuwa mapempoooo nimekupata ya
Ni mnakula mauchafu
Pale ccm na pale jeshiniWakuu kwa hapa Zanzibar ntapata wapi kitimito(nguruwe) maana nataka nipate kitoweo???
au beberu yn mbuzi dume ni kelele mwanzo mwisho lakini yupo mnadani. Ila Sijasikia wakisemwa watu ambao ndo wenye kelele nyingi zaidi ya mifugo inayouzwa hapo japokuwa watu hao hawauzwi.Kwa hyo kwa akili zenu jibu tayari kwa nn kuku ana keleĺe na yupo mnadani
Ana busha😂😂😂Nguruwe mwenywe sasa
Waw! Lakini utaratibu ukoje?Pale ccm na pale jeshini
Hapana. Hayo ndo maumbile yake. Laiti ingewezekana nguruwe dume rijali akasimama/akasimamishwa kwa miguu yake miwili ya nyuma peke yake, Me, tungelielewa zaidi.Ana busha😂😂😂
Pale ni Tanganyika unajiachia tu hakuna kifichoWaw! Lakini utaratibu ukoje?
Huyu ni wa porini hastahili kuitwa kitimoto au kuwepo mnadani.Mmemsahau ngoja apite kidogoView attachment 3140391