Kwanini nguruwe hauzwi minadani kama mbuzi, kondoo, ng'ombe na kuku?

Kwanini nguruwe hauzwi minadani kama mbuzi, kondoo, ng'ombe na kuku?

Mbona umeleta katoi hapa
Bro tuheshimiane
B04DjT5CQAIIOtL-3096592312.jpg
 
Wewe utakua unajibu lako unalolitafuta, unaelewa maana ya luxurious meat ? Mzee hata soko ni uhakika...nguruwe utamkuta saa ngapi anasubiri kununiliwa mnadani ? Lakini nature yake tu pia kuanzia kidini Ndugu zetu wanaweza wasinunue chochote kwenye huo mnada....
Alafuu yule si mnyama anaeswaga ukiwatoa kuwapeleka kwenye mnada unaweza usirudi nae hata mmoja...wanafujo na kimbia kimbia unaweza ukasema Yesu amerudi na tayari ashawarushia mapepo tena...
Ojhj kwa hyo mnakula yaliyorushuwa mapempoooo nimekupata ya
Ni mnakula mauchafu
 
Jf saalam.

Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.

Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?

Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.

Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Huyo mnyama ni najis tangu enzi za nabii musa, mwenye masikio na asikie
 
Back
Top Bottom