Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngamia piaHuwa natafta sheikh mmoja aniambie, Tourat ndio msingi wa sheria za Mungu. Kwa msingi huo hata samaki Kambale ni haram, Sungura ni haram, Bata ni haram kuliwa, lakini mbona wenzetu wamemshikilia Kitimoto pekeake? Hii sio haki
Ndio Shirati ni jumatatu, Randa ni Ijumaa, Utegi ni Alhamisi, Tarime ni Jumapili na Sirari ni Jumamosi kama nitakua sijasahau
Sahihi mkuu..Ndio Shirati ni jumatatu, Randa ni Ijumaa, Utegi ni Alhamisi, Tarime ni Jumapili na Sirari ni Jumamosi kama nitakua sijasahau
Jifunze tu kuheshimu wanachopenda wengine hata kama we haupendi, mbona we wapenda mishangazi na hatukuogopi wala.....Mi mtu anayetetea matumizi ya nguruwe huwa namuogopa sana aiseeee....
kwa sababu nguruwe ni myama mtakatifuJf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
umeshawahi kuona bangi ikiuzwa sokoni pamoja na mchicha na nyanyaJf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Ufalme wa Mungu utausikilizia tu si Kwa kututamaniha Hivi asee.
Nimeimiss balaaaaUfalme wa Mungu utausikilizia tu si Kwa kututamaniha Hivi asee.
Bangi ni kosa kisheria mkuu. Bangi sio chakulaumeshawahi kuona bangi ikiuzwa sokoni pamoja na mchicha na nyanya
Jmos nuliagiza kg2 zikanishinda nikabeba asee Hadi home. Wife hapendi kabisa hata kusikia harufu yake tu lakini niliificha Wala hakuisanukia joli mapema nikaamka nayoNimeimiss balaaaa
Ngamia Kwa waislamu wanakwambia ndo Mnyama pekee wanae msomea Dua anakubali kuchinjwa mwenyewe.Ngamia pia
Hii sio sawa maana Nchi sio ya kidini hiiImani nyingine inachukulia kuwa nguruwe ni haramu. Wanaepusha hilo.
Huyo ni mnyama kama ilivyo Kwa kondoo nk.Mdudu ni mdudu tu mkuu! Hata higyo mmempa majina mengi sana
Lakini nyama yake mnadani ipo watu wanachoma kama kawaida. Hii ndo inaleta ukakasi zaidi. Karibia minada yote wanayochoma nyama ni ngumu sana kukosa nyama ya kitimoto mkuu.Wakristo hatupeleki Nguruwe mnadani kwasababu tunawastahi wenzetu wasio mtumia huyo mnyama kama kitafunwa.