OttoThyPrince
Senior Member
- Jun 24, 2020
- 113
- 80
Sio kweliafu si wanakula watu ukikaa kizembe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweliafu si wanakula watu ukikaa kizembe
Kwa watu wengine sio hivyo.mbona Bata Huwa anauzwa japo Kwa wasabato wao ni haramu vilevile?Kwa sababu nguruwe ni haram
Lakini sio mnadani mkuu?Hapa shirati Rorya wapo wanazurura mitaani tu kama huko dar mbozi wanavyokata mitaa.
Niliwahi sikia tukio Hilo sengerema walimla mtoto mdogo.afu si wanakula watu ukikaa kizembe
Daah Sasa hapo si wamemfunga na mdomo Sasa!?Mwamba huyu hapa
Uzi ufungwe sasa, hilo ndio jibu.Kizuri Chajiuza kibaya chajitembeza
Kizuri chajiuza, kibaya cha jitembeza.Jf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Wanyama wana watizama wanyama wenzao kwa namna ya kuwatanani kuwala.Tembea uone,acha kujifungia hapo kimanzichana na kujipa majibu mwenyewe.
Ni sawa mkuu hii hata Mimi nimewahi ona lakini kuona kabisa mnadani kama mifugo mingine sijawahi muona. Mara zote Huwa nafikri labda Kuna katazo la serikali hata ukiangalia kwenye vibari vya mifugo nguruwe sijawahi muona.Kule wanafugwa kama kuku, wanafunguliwa asubuhi jioni wanarudi wenyewe zizini. Ukimpenda nguruwe wa mtu mnauziana popote pale
Ni kweli kabisa kelele za punda ndo kelele zenye kero hasa. Hata ngo'mbe tu ana kelele sana hasa Yale mafahari(dume)Mbona Punda anauzwa na Ana kelele🤣🤣
Au Ushawahi kusikia Kelele xa Kanga au Yale Maturkey Bird Wale Bata Mzinga
Hapana mkuu sijawahi. Nguruwe ni mnyama kama wanyama wengine tu. Kwanini asiuzwe mnadani?Ulishawahi kuikuta meli ubungo au magufuli bus terminal?
Inaukweli wake. Lakini wengine hutuambii kitu kuhusu kitimoto mkuuKizuri chajiuza, kibaya cha jitembeza.
Una Manisha wachina ni wanyama kama wanyama wengine mkuu?Wanyama wana watizama wanyama wenzao kwa namna ya kuwatanani kuwala.
Hiyo ni Luxurious meat lazima iuzwe kwa heshima.Jf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Mkuu wazo lako/point Yako Haina mashiko. Kwa sababu uliingiza Imani msabato hata Bata tu Hali pia kambale lakini hao wote huuzwa mnadani na masokoni.Unajua kabisa ndugu zetu katika iman kwao hiyo kitu hua ni mwiko vile vile kwa wasabato pia
Sasa mnada hua ni mjumuiko wa watu wote ukiweka iyo kitu huoni kua utawakosa hao wateja wasio tumia hiyo makitu?
Nakubali ni nyama pendwa sana hata kwangu pia naikubali sana.Hiyo ni Luxurious meat lazima iuzwe kwa heshima.