heretostay
Member
- Sep 13, 2024
- 81
- 100
Mkuu jeshini kuna siku tumepangiwa kwenda kuhudumia nguruwe, nikapangwa banda linaitwa Muhimbili, kumbe ni wale wagonjwa! Imagine nguruwe mgonjwa... Sisahau hadi leoNguruwe ni Dhahabu au Almasi mchangani, bei ya Nguruwe mmoja mkubwa mwenye kilo za kutosha ni sawa na ng'ombe wawili lakini pia wana maeneo yao maalumu na minada yao maalumu wanapouzwa, kingine vurugu za nguruwe si unazijua utaweza kuchunga nguruwe au ushawahi ona nguruwe anachungwa km mbuzi? Nguruwe mtata mchunge akupige jino
Hatari sana nimechekaMkuu jeshini kuna siku tumepangiwa kwenda kuhudumia nguruwe, nikapangwa banda linaitwa Muhimbili, kumbe ni wale wagonjwa! Imagine nguruwe mgonjwa... Sisahau hadi leo
Sababu ni hii: Nguruwe na nyama yake vimepata umaarufu siku za karibuni tu. I mean miaka ya nyuma kwenye 60, 70 na 80, nyama ya nguruwe haikuwa inaliwa kama sasa. Hata mabucha ya nyama ya nguruwe yalikuwa ni machache sana sana na nyama ya nguruwe ilikuwa inauzwa kwa msimu. i.e. mfugaji wa nguruwe (walikuwapo wachache sana) anapotaka kuchinja nguruwe, anatoa habari kwa majirani na watu wa karibu ili wakanunue nyama siku atapochinjwa. Kwa hiyo tunaweza kusema kuwa nguruwe hauzwi mnadani kwa sababu umaruufu wa nyama yake umeibuka siku hizi tu. Fanya uchunguzi utakuwa hata wazee wa zamani wengi walikuwa hawapendi nyama ya nguruwe. Na zaidi mambo ya ku-roast au kukaanga hayakuwepo kama sasa. Nguruwe wachache waliokuwepo walikuwa wanafungwa na kunenepeshwa ili yapatikane mafuta ya kupikia. Ilikuwa ni kawaida nguruwe anapochichwa watu wanakwenda kununua mafuta yake ili wakayatengeneze kwa kupikia chakula,Nakubali ni nyama pendwa sana hata kwangu pia naikubali sana.
Utofauti wake ni ni hasa asiuzwe mnadani ukisema ni Luxury meat ni hoja nyepesi sana hii
Kama nilivyosema zamani watu wengi walikuwa hawali kitimoto. Na pia enzi hizo kumtoa nguruwe point A mpaka B ilikuwa siyo kazi rahisi kwa sababu huwezi kuwaswaga kama mbuzi. Kipindi hicho magari na vyombo vya usafiri kwa ujumla vilikuwa hapa. Hivyo kuna combination ya sababuNakubali ni nyama pendwa sana hata kwangu pia naikubali sana.
Utofauti wake ni ni hasa asiuzwe mnadani ukisema ni Luxury meat ni hoja nyepesi sana hii
Kwa nini Rolls Royce haiuzwi Magomeni na Hapo mlimani city kwa madalali.Jf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Tatizo ndugu zetu wana nongwa sana, watasusa kwenda mnadan kununua hata vitu vingine kisa tu Kuna nguruwe. We c unaona hata kuku tunawapa wachinje, maana ukichinja wewe hawali.Sina hakika kama kelele pekee ndo inaweza kuwa chanzo Cha kutompeleka mnadani
Yaap Denzel WashingtonUnjuuu
nenda minada ya mbulu kule manyara mkuu wa meza yupo kama kawa hii ni kwa viongozi haiwezi kuwa kila sehemuJf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Hahahaha! Bucha zenyewe za kifichoKwa zile kelele zake huko mnadani mtasikilizana kweli!
Manyoya yanacover only 1% ya uzito wakeInakuwa hivyo kwa sababu takriban 98% ya mwili wake ni Consumable items. i.e. Kila kitu hapo mwilini kwake kinauzwa/kinatumika kuanzia kongoro, kichwa, utumbo, mafuta, n.k. wa hiyo faida ni kubwa. Kinachotupwa labda ni manyoya tuu kwani hakuna ngozi. Ngozi hutolewa na mafuta yake.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ wazee wa Gaza haha dahKabla hajafika mnadani kashafanyiwa booking kitaaambo! Tena wanafanya kwa siri mno wazee wa gaza
Manyoya yake pia hutumika kutengeneza vile vibrashi vidogo vya kupaka kucha rangi kwa wenzetu.Manyoya yanacover only 1% ya uzito wake
Oya basi Nguruwe ana mikosi na wavaa kobaz tu ila hana baya huyu jamaaManyoya yake pia hutumika kutengeneza vile vibrashi vidogo vya kupaka kucha rangi kwa wenzetu.
Hajawahi kuwa na baya lolotebali ni ss tu tunamnanga kupitiliza. Anastahili apewe maua yake.Oya basi Nguruwe ana mikosi na wavaa kobaz tu ila hana baya huyu jamaa