heretostay
Member
- Sep 13, 2024
- 81
- 100
Mkuu jeshini kuna siku tumepangiwa kwenda kuhudumia nguruwe, nikapangwa banda linaitwa Muhimbili, kumbe ni wale wagonjwa! Imagine nguruwe mgonjwa... Sisahau hadi leoNguruwe ni Dhahabu au Almasi mchangani, bei ya Nguruwe mmoja mkubwa mwenye kilo za kutosha ni sawa na ng'ombe wawili lakini pia wana maeneo yao maalumu na minada yao maalumu wanapouzwa, kingine vurugu za nguruwe si unazijua utaweza kuchunga nguruwe au ushawahi ona nguruwe anachungwa km mbuzi? Nguruwe mtata mchunge akupige jino