Kwanini nguruwe hauzwi minadani kama mbuzi, kondoo, ng'ombe na kuku?

Kizuri chajiuza, kibaya cha jitembeza.
 
Kule wanafugwa kama kuku, wanafunguliwa asubuhi jioni wanarudi wenyewe zizini. Ukimpenda nguruwe wa mtu mnauziana popote pale
Ni sawa mkuu hii hata Mimi nimewahi ona lakini kuona kabisa mnadani kama mifugo mingine sijawahi muona. Mara zote Huwa nafikri labda Kuna katazo la serikali hata ukiangalia kwenye vibari vya mifugo nguruwe sijawahi muona.
 
Unajua kabisa ndugu zetu katika iman kwao hiyo kitu hua ni mwiko vile vile kwa wasabato pia
Sasa mnada hua ni mjumuiko wa watu wote ukiweka iyo kitu huoni kua utawakosa hao wateja wasio tumia hiyo makitu?
 
Hiyo ni Luxurious meat lazima iuzwe kwa heshima.
 
Unajua kabisa ndugu zetu katika iman kwao hiyo kitu hua ni mwiko vile vile kwa wasabato pia
Sasa mnada hua ni mjumuiko wa watu wote ukiweka iyo kitu huoni kua utawakosa hao wateja wasio tumia hiyo makitu?
Mkuu wazo lako/point Yako Haina mashiko. Kwa sababu uliingiza Imani msabato hata Bata tu Hali pia kambale lakini hao wote huuzwa mnadani na masokoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…