Kwanini nguruwe huwa wachafu sana?

Mbona nguruwe pori Hana sifa hizo ulizozitaja
 
Hakuna aliewahi kupigana vita na huyu kiumbe akashinda. Tulimtafuna, tunamtafuna, na tutaendelea kumtafuna!

Hivi mnajua balaa la kitimoto rosti nyie? Upate na tubia hata tuwili tu twa kusindikizia, Aroo!
[/QUO

Nyama tamu sana hii big up pig
 
mambo gani ya kutiana appetite na hili baridi sasa?!ukimyaja tuu huyu jamaa medula inavurugika asee...ngoja niende kwa masaweee hapo
 
Hii ni kweli mkuu, kama banda la nguruwe ni safi lenye kivuli huwa wana eneo moja la kujisaidia.

Hata ng'ombe ni wachafu sana kama mfugani ni mchafu.
 
Hahahaha
Hiyo take yako hapo chini ni ya Kichawi Mkuu
 
Inategemea na mazingira pia,mfugo wowote ukiufugia mazingira machafu utakua mchafu.Banda la nguruwe likisafishwa mara kwa mara,nguruwe wenyewe wanachagua,sehemu ya pembeni ya banda kama sehemu ya kujisaidia kubwa na ndogo,na sehemu nyingine kuwa ya malazi.

Huwezi kuta wanakula kinyesi,na pale usiposafisha sehemu za kulia chakula,au ukachanganya na walichobakiza hawali,(nimefuga nguruwe).Hivyo usafi wa nguruwe au mfugo wowote hutegemea na usafi wa mtunzaji mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…