Wangepelekwa Zanzibar me naonaKwani arusha hii imejaa kiasi cha kuwapeleka wamasai huko msomera,
Au wangetenga tu eneo huko huko ngorongoro kama kijiji maana nyumba za huko zipo mbali mbali na wakatumia mbinu ambayo ingechukua muda kuwahamisha kuliko kuwahamisha kwa mkupuo,
Maana kuna wengine wana ndugu zao wanaona ni taabu kwenda mbali.
Serkaikari yako na ubunifu eti msometa ni mbali hawawezi rudiKwani arusha hii imejaa kiasi cha kuwapeleka wamasai huko msomera,
Au wangetenga tu eneo huko huko ngorongoro kama kijiji maana nyumba za huko zipo mbali mbali na wakatumia mbinu ambayo ingechukua muda kuwahamisha kuliko kuwahamisha kwa mkupuo,
Maana kuna wengine wana ndugu zao wanaona ni taabu kwenda mbali.
Mtu kwao. Kulazimisha hakubadili ukweli kwamba eneo lao la asili ndio fahari yao. Unaweza usipapende lakini kumbuka bura yangu sibadili na rehani.Msomera inafaa kwa ajili Yao mifugo na kilimo ni eneo zuri sana
Nenda wewe ukakae huko, acheni watu wakae kwenye ardhi yao ya asiliMsomera inafaa kwa ajili Yao mifugo na kilimo ni eneo zuri sana