kiss daniel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 758
- 2,062
Yeriko upuuzwe
Huna akili kabisa
Huna akili kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaiweza nani?Ninavyoelewa uhitaji mkubwa wa Rais mpya ni kuunda mpya mfumo wa utawala na dola katika nchi yetu. Kazi hiyo Lissu angeiweza sana. Lakini hilo hitaji haliko Chadema. Chadema kinahitaji kiongozi mpambanaji lakini mwenye uwezo pia wa kuhakikisha survival ya chama chake. Hiyo kazi Lissu haiwezi.
Amandla...
Nina bahati Mbaya sana niliwaamini Nyie wahuni kumbe mnajali Pesa tu.Sababu ya sita inayomnyima Tundu Lissu sifa ya kuwa mwenyekiti wa Chadema Taifa ni ya kiuchumi, Duniani kwa modern politics pesa ni silaha muhimu ya kuiendesha taasisi ya kisisa, Ifahamike Chadema kwa sasa ni chama kisisa kilichotayari kushika madaraka ya nchi, Sio kikundi cha harakati, bali chama cha siasa ambacho utendaji kazi wake unahusu dialogue, convincing, and black-mailings, mambo hayo yanahitaji pesa sio maneno wala harakati, tena pesa utoe mfukono mwako kwakuwa chama chetu hakina ruzuku ya maana, milioni miamoja na hamsini ya ruzuku hata kuhudumia makao makuu tu haitoshi, hivyo lazima uwe na misuli ya uchumi ili uwalipe wataalamu niliowaeleza hapo juu. Zingatia wataalamu hao juu hawawezi kuwa wanachama wengi unawapa tenda unawalipa. Sasa Lissu kwa sasa hajarejea vizuri kwenye utumishi wake wa Uwakili nchini, anaishi kwakutegemea misaada ya wahisani hasa Diaspora, Chama kinaingi kwenye uchaguzi mkuu mwakani, itakuwa ni masihara kutegemea mwenyekiti wa aina hiyo awaingize kwenye uchaguzi kwakutegemea ruzuku ya milioni mia hamsini. Hivi tu sasa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi huu ikiwa utafanyikia Dar bajeti yake inafika Bilioni 1, na ikiwa utafanyikia Dodoma angalau bajeti inaweza kuwa milioni 800 hivi, Muulizeni Lissu anaweza kuchangia shingapi bajeti hii? Zitto kakimbia kuongoza chama chake sio kwamba anapenda bali kakimbizwa na uchumi, kakaa pembeni na remont anamwelekeza yule mama tu, Kuongoza chama lazima uwe na pesa zako mfukoni sio za mfuko wa mtu. Mimi sitampa kura yangu!
Kwahiyo Mbowe anaweza kui finance CDM akiwa mwenyekiti tu? Hawezi kukifinance chama akiwa mzee wa CDM? Kwahiyo unasema kuwa anapenda uenyekiti kuliko anavyokipenda chama? Reginald Mengi (RIP) alikuwa ana finance CDM akiwa na cheo gani CDM?Well said. Chadema ni Mbowe na mbowe ni chadema......
Mimi nilishasema Tundu lissu ni mzuri ila hayuko financially stable. Hana tofauti na Lipumba, marehemu Mrema, Mbatia, Zitto na kadhalika.
Hata wanamapinduzi wengi ulimwenguni ukiwasoma walikuwa kwanza wanahakikisha Wana nguvu ya kiuchumi kufinance hayo mapinduzi. Sio wote pangu pakavu halafu mnaongozana. Mtafika wapi.
Aanzishe chama chake halafu aone kama ni rahisi. Useless
Aisee nimejifunza andiko la Yerricko sitawaamini tena hawa wahuni.Yeriko upuuzwe
Huna akili kabisa
Wapuuzi nyie akina Hand to Mouth, miaka yote mnatudanganya mnapigania haki za wananchi.Well said. Chadema ni Mbowe na mbowe ni chadema......
Mimi nilishasema Tundu lissu ni mzuri ila hayuko financially stable. Hana tofauti na Lipumba, marehemu Mrema, Mbatia, Zitto na kadhalika.
Hata wanamapinduzi wengi ulimwenguni ukiwasoma walikuwa kwanza wanahakikisha Wana nguvu ya kiuchumi kufinance hayo mapinduzi. Sio wote pangu pakavu halafu mnaongozana. Mtafika wapi.
Aanzishe chama chake halafu aone kama ni rahisi. Useless
Umeongea kama Kikwete, ni afadhali yeye asiwe Rais lakini sio Tundu Lissu kuwa mbunge.Mimi nilishasema kuhusu Lissu nikapuuzwa. Nakupongeza sana Yericko Nyerere kwa kujitokeza na kumshambulia huyu adui wa demokrasia na kirusi ndani ya CHADEMA. WanaCCM tupo tayari kushirikiana na Mbowe kwenye ujenzi wa CHADEMA. Kamati kuu imchukulie hatua kali za kinidhamu Tundu Lissu.
MImi ni Mwana chadema lakini andiko la Yeriko limenibunja moyo sana.Kama viongozi wa CHADEMA wanawaza kwa namna hii Bora CCM iendelee kwa miaka mia
Aisee Itafahamika......mambo yote hadharani.Yeriko Nyerere wewe ulikuwa Mtumishi mtiifu wa hayati Membe na unaelewa kabisa Mbowe ni CCM
Waache Lisu na Mbowe wapambane kwenye Uchaguzi huru na haki utakaosimamiwa na Chama Cha Wanasheria wa Kenya
Nimemaliza 🐼
Zitto junior usiku wa leo tare 16 Dec 2024 nimevunjka moyo sana.Nimeishia kusoma hapa tu, yaani leo hii Lissu aliyekua jasiri pekee kumface JPM na kuupa uhai siasa za upinzani kipindi kile cha udikteta ndio leo mnamuita anatumika na CCCM? yaani ali risk maisha hadi kupigwa risasi all that ili aje kutumika na CCM?
Nimekudharau sana hata kitabu chako nitakichoma moto, nilidhani upo intelligent kumbe ni just another Mbowe's pawn!! So embarrassing
Umewaza sana kama mimi exactly.....nimefanya reflection ya Matukio yoote yaliyotokea tangu 2015 hadi 2024 nov 27.Nimesoma mpaka hapo kwenye simulizi ya Abdul kupelekwa kwa Lissu na kiongozi mkubwa wa Chadema. Tukihoji kwa nin Mbowe alienda straight ikulu baada ya kutoka jela mnasema tunapenda vita hatupendi watu waelewane.
Tuseme kwamba hiki alichosema huyu Nyerere ni kweli na kwamba Tundu Lissu alikuwa amezungukwa na Nyoka tupu.Yaani nawewe unasema maridhiano yakikua na faida,ilhali akina George Sanga hadi sasa wako ndani,na kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mlikatwa kutoka asilimia 98 ya wagombea mliowasimamisha hadi asilimia 34,bado unaona ni mafanikio?
Lissu alitaka hadi kuuawa kwasababu ya misimamo yake,leo eti unambeza wewe ambaye uko vuguvugu na hata sijawahi kukuona ukiwa front kwenye maandamano zaidi ya kupiga porojo mitandaoni.
Wewe itakua ni mmoja wa watu wanaotumika,unajishuhia kredit sana.
Akina Lucas na Tlaatalaa ndio.hawa akina ChiembeKugombea Urais kuongoza watu 60m, sawa anafaa. Ila kugombea uenyekiti kuongoza watu wachache, ana nia ovu hafai. Pumbavu kabisa hili jamaa.
Hawa ndio wale wachawa wanaotaka Mbowe aendelee kwa faida ya matumbo yao
Eti mfanya bishara na kiongozi mkubwa wa Chama.Nchi hizi ina maajabu mengi sana, hivi Abdul ana cheo gani serikalini mpaka aweze kumlipa Lissu stahiki zake za kibunge?
Alikuwa anarejeshewa hasara zake.....it was very well calculated.Barikiwa sana kwa bandiko lililotukuka
Hakika kwa sasa kwenye upinzani wa nchi hii hakuna mtu jasiri na mwenye msimamo asiyekurupuka kama Mbowe jamaa kapita mengi sana kiasi kwamba angekuwa mwingine angeshaunga mkono juhudi au kuamua kuachana na siasa kabisa!
Mungu mbariki sana kamanda Mbowe
Hili Taifa hata Baba Levo au Juma Lokole anaweza. We kweli ndezi kama huwezi kuongoza Taifa hili.Kwa hiyo mkuu uliamini kabisa Lissu anaweza kushida urais na kuongoza hili taifa. 😅😅😅
Wewe ni mtumishi wa idara ya usalama wa Taifa toka ulivyotekwa 2015
Ambayo ni idara ya ulinzi wa CCM
Mnampiga Vita Lissu kwa sababu ya kulinda vibarua vyenu ukiwa na Boniface Jacob, Malissa and .com
Mwaka huu hatutakubali Bora tugawane mbao chama kife chama kuwa chini ya ccm hapana !!
Hayo mawazo ya kutaka kutuletea January makamba au Gwajima kugomea urais hatutakubali..
Watu waliokipambania chama miaka nenda miaka Rudi ndio mnawatukana tu mnavyojisikia
Mwaka huu ndio tunataka tujue kweli chadema ni chama Cha umma au ni chama Cha familia ya Mbowe?
Pigeni promotion tu lakini mwaka huu ni Lissu!! Mkateni tuanzishe chama kipya mnapambana na Mungu, Umma na wakati hamtakaa mfanikiwe wajasiliamali wa kisiasa siasa sio biashara!!