Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Wanaume ni polygamous creatures. Ni asilu ya kiumbe wa kiume kuwa na majike wengi lakini hapo hapo viumbe wa kike wengi wanakuwa na dume mmoja tu.
Angalia hata jogoo bandani ana majike 20+. Angalia pride ya simba ina dume moja na majike yakushanta.
Hata binadamu na sisi tupo hivyo hivyo. Ni nature na hauwezi kupingana nayo.
Nawaza sijui nikutumie pesa kdgo kama laki moja au nikuombee dua. Maana umetoa majbu yaliyonyooka na yenye ukweli mtupu. Ukipingana na nature utaumia sanaWanaume ni polygamous creatures. Ni asilu ya kiumbe wa kiume kuwa na majike wengi lakini hapo hapo viumbe wa kike wengi wanakuwa na dume mmoja tu.
Angalia hata jogoo bandani ana majike 20+. Angalia pride ya simba ina dume moja na majike yakushanta.
Hata binadamu na sisi tupo hivyo hivyo. Ni nature na hauwezi kupingana nayo.
Msingi wa mwanamke kupenda uko katika maumbile ya nafsi au moyo wake. Mwanamume hana uwezo wa kupenda, ndiyo maana amewekewa sheria katika Maandiko, kwamba ampende mkewe. Kwa hiyo, kwa sababu mwanamke ana Roho ya kupenda, ni rahisi kusamehe, kuachilia, kuelewa madhaifu ya mumewe na kusahau makosa yake. "Upendo husitiri wingi wa makosa". Upendo una tabia ya kutohesabu mabaya. Wanaume tunahesabu mabaya kwa kuwa hatuna asili ya kupenda.Habari wana jamvi?
Kama mada inavyojieleza hapo juu. Napenda kufahamu kwanini Mabinti wengi wanao nipata nikiwacheat ni wepesi sana kusamehe na kusahau kuliko mimi ambaye nikimkuta binti ana makando kando huwa ni mara moja anapotea katika ulimwengu wangu. Yaani hata nijaribu vipi kumpenda tena yaani najikuta nashindwa kabisa, ni kama najiona nachota maji baharini kwa kutumia kijiko.
Vile vile huwa inanishangaza sana pale wanawake zangu wanapo zifumania story za kimapenzi na kimahaba kwenye simu zangu kwa wanawake wengine, wanaishia kutokwa na machozi ila baada ya siku mbili wanakutumia text "My umeamkaje?".."Mpenzi nimekumiss". ..."Natamani nikuone".
Nashindwa kuelewa kwa kweli.
Umewapa sifa nzitoTangu dunia hii iumbwe,
Suala la Mwanaume kuchepuka hata sio habar ya kushangaza,
Wanachoangalia Ni heshima na mahitaji yake utimize kwa ufanisi na kwa wakati.
Wanawake wote wanaojitambua nadhani hili wanalijua.
Hii ni kwa visodokwinyo na visokolokwinyo tu mwanamke ni ameumbwa mwanamke tu.Mwanamke anakabiliwa na matatizo makuu mawili
1. Uchumi mdogo wa kuendesha maisha
2. Kupata mume mpya ni changamoto
Ukimcheat mwanamke mwenye fedha zake ndio utajua kumbe mwanamke ni hatari Sana linapokuja suala la kucheatiwa!
Inahitaji ufafanuzi zaidi iko kifalsafa zaidiMsingi wa mwanamke kupenda uko katika maumbile ya nafsi au moyo wake. Mwanamume hana uwezo wa kupenda, ndiyo maana amewekewa sheria katika Maandiko, kwamba ampende mkewe. Kwa hiyo, kwa sababu mwanamke ana Roho ya kupenda, ni rahisi kusamehe, kuachilia, kuelewa madhaifu ya mumewe na kusahau makosa yake. "Upendo husitiri wingi wa makosa". Upendo una tabia ya kutohesabu mabaya. Wanaume tunahesabu mabaya kwa kuwa hatuna asili ya kupenda.