Kwanini ni rahisi zaidi kumshawishi mwanamke kubadili imani yake kwenye mahusiano?

Kwanini ni rahisi zaidi kumshawishi mwanamke kubadili imani yake kwenye mahusiano?

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Wanawake ni aslilimia kubwa unaweza kuingia kimahusiano kwa njia ndogo ya imani zao mfano ukimwambia nitakuoa yani hapo umemvuruga kabisa.

wengine imani zao wanaamini wanaume wenye imani zao ni watu wa kuwaamini haraka kule wale ambao sisi kama kikundi cha shetani.

Kipindi nipo tanga yani wakikuona unataja vifungu ya haya kwenye imani kuhusu wao kwa mwanaume yani wanaweza kupanga foleni utazani shindano la BSS.

Huku kwa walokole na makanisani yani ukismama mazabauni ukasema unataka mke wa kuoa nao unaweza kusema kuna usaili wa maombi ya kazi watakavyo kuja.
 
Mwanamke kwenye mambo ya kimiujiza ni rahisi sana kumshawishi

90% ya waumini wa makanisa ya miujiza ni wanawake, wanaume unaowakuta huwa ni ma dj wa mziki, walinzi, wanaolipwa na kuvishwa kuhudhuria, waliolazimishwa na wake zao kuhudhuria, wanafunzi wake mchungaji, n.k.
 
Wanawake ni aslilimia kubwa unaweza kuingia kimahusiano kwa njia ndogo ya imani zao mfano ukimwambia nitakuoa yani hapo umemvuruga kabisa.

wengine imani zao wanaamini wanaume wenye imani zao ni watu wa kuwaamini haraka kule wale ambao sisi kama kikundi cha shetani.

Kipindi nipo tanga yani wakikuona unataja vifungu ya haya kwenye imani kuhusu wao kwa mwanaume yani wanaweza kupanga foleni utazani shindano la BSS.

Huku kwa walokole na makanisani yani ukismama mazabauni ukasema unataka mke wa kuoa nao unaweza kusema kuna usaili wa maombi ya kazi watakavyo kuja.
Mwanamke hana imani, ameamuliwa kufuata na kuongozwa na mwanaume


Mwanzo 3:16

[16]Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.

Unto the woman he said, I will greatly multiply thy sorrow and thy conception; in sorrow thou shalt bring forth children; and thy desire shall be to thy husband, and he shall rule over thee.
 
Wanawake ni aslilimia kubwa unaweza kuingia kimahusiano kwa njia ndogo ya imani zao mfano ukimwambia nitakuoa yani hapo umemvuruga kabisa.

wengine imani zao wanaamini wanaume wenye imani zao ni watu wa kuwaamini haraka kule wale ambao sisi kama kikundi cha shetani.

Kipindi nipo tanga yani wakikuona unataja vifungu ya haya kwenye imani kuhusu wao kwa mwanaume yani wanaweza kupanga foleni utazani shindano la BSS.

Huku kwa walokole na makanisani yani ukismama mazabauni ukasema unataka mke wa kuoa nao unaweza kusema kuna usaili wa maombi ya kazi watakavyo kuja.
Haituhusu
 
Back
Top Bottom