kwa nini hua mnasema mke na mume na hamuanzi wale ni mume na mkeKwasababu Simba mabingwa ndio maana wanaanza
Kwasababu ladies firstkwa nini hua mnasema mke na mume na hamuanzi wale ni mume na mke
it is phonology hapo ndio inafanya sound ya simba ianze
jiulize pia kwa ni wanaanza na baba inafuatiwa na mama yani baba na mamaWewe kwa nini hujiulizi wanandoa inaanza kutajwa mke then mume yaan kwenye story utaskia wale ni mke na mume.
Nazan ni masuala ya linguistics
Wao wenyewe hawajui jina halisi la timu yao,Hivi jina halisi la Yanga na Yanga Africa au Younger African.
Naomba mnijuze wajumbe