Kwanini ni vigumu kupata Hotuba za Hayati E.M.Sokoine?

Kwanini ni vigumu kupata Hotuba za Hayati E.M.Sokoine?

Nilishaangaika kweli kutafuta hotuba za Hayati E.M.Sokoine bila mafanikio. Nilitembelea duka la RTD ya zamani pale Zanaki street nikakosa, niliwahi pia kuwa'pm' baadhi ya magwiji wa kutunza kumbukumbu hapa JF nao pia walinikalia kimya (hawakunijibu mpaka sasa).Pia niliwahi kuanzisha uzi hapa kununua hotuba hizo nikawashirikisha ma'moderators, lakini wapi hakuna nilichopata. Ninauliza hotuba za mzalendo huyu wa Tanzania zilifungiwa kusikilizwa, kusomwa hapa nchini kama mziki wa 'Segere' ama kitabu fulani cha mwandishi ....Hamza Njozi (Mwembe'tea'.....!!!)?

Kama zilifungiwa naomba majibu ili niache kujisumbua kuzitafuta, maana mimi na vitu visivyohalali hatuendi pamoja!
Wale waliokuwa wanaomba aondoke duniani hawakufurahiya hotuba zake na alikuwa mtendaji mzuri kama Rais Dr Magufuli, pili kati ya maadui wa Sokoine ambao walitaka kwa udi na uvumba kuwa Rais wa Tanzania nao pia walikutana na kigingi cha Muumba! ndiyo maana waswahili husema malipizi ni hapahapa duniani!
 
,
Nilishaangaika kweli kutafuta hotuba za Hayati E.M.Sokoine bila mafanikio. Nilitembelea duka la RTD ya zamani pale Zanaki street nikakosa, niliwahi pia kuwa'pm' baadhi ya magwiji wa kutunza kumbukumbu hapa JF nao pia walinikalia kimya (hawakunijibu mpaka sasa).Pia niliwahi kuanzisha uzi hapa kununua hotuba hizo nikawashirikisha ma'moderators, lakini wapi hakuna nilichopata. Ninauliza hotuba za mzalendo huyu wa Tanzania zilifungiwa kusikilizwa, kusomwa hapa nchini kama mziki wa 'Segere' ama kitabu fulani cha mwandishi ....Hamza Njozi (Mwembe'tea'.....!!!)?

Kama zilifungiwa naomba majibu ili niache kujisumbua kuzitafuta, maana mimi na vitu visivyohalali hatuendi pamoja![/QUOTE zipo nyingi ila zimetunzwa kwenye labrary ya familia huko monduli nyumbani kwake, ila Kwa msaada unaweze kumuona ndugu Joseph sokoine pale wizara ya mambo ya nnje atakusaidia ni MTU mstaabu sana
 
Nilishaangaika kweli kutafuta hotuba za Hayati E.M.Sokoine bila mafanikio. Nilitembelea duka la RTD ya zamani pale Zanaki street nikakosa, niliwahi pia kuwa'pm' baadhi ya magwiji wa kutunza kumbukumbu hapa JF nao pia walinikalia kimya (hawakunijibu mpaka sasa).Pia niliwahi kuanzisha uzi hapa kununua hotuba hizo nikawashirikisha ma'moderators, lakini wapi hakuna nilichopata. Ninauliza hotuba za mzalendo huyu wa Tanzania zilifungiwa kusikilizwa, kusomwa hapa nchini kama mziki wa 'Segere' ama kitabu fulani cha mwandishi ....Hamza Njozi (Mwembe'tea'.....!!!)?

Kama zilifungiwa naomba majibu ili niache kujisumbua kuzitafuta, maana mimi na vitu visivyohalali hatuendi pamoja!
Zipo nyingi ila zimetunzwa kwenye labrary ya familia huko monduli nyumbani kwake, Kwa msaada unaweza kuwasiliana ndugu Joseph sokoine pale wizara ya mambo ya nnje atakusaidia kuzipata hizo cd
 
Ana hotuba zipi?

Thubutu wakati wa Nyerere ujidai una hotuba zaidi yake.
 
Cha kushangaza natafuta hotuba za awali za Ali Hassan Mwinyi, hususan zile mbili za mwanzo alizoongea na wazee wa Dar. Sizipati.

Kwanini zimeyeyushwa?
 
Zipo nyingi ila zimetunzwa kwenye labrary ya familia huko monduli nyumbani kwake, Kwa msaada unaweza kuwasiliana ndugu Joseph sokoine pale wizara ya mambo ya nnje atakusaidia kuzipata hizo cd
Asante sana mkuu.
 
Leo kumbukumbu yake. Tulihitaji kusikia hotuba yake! Inauma kuna vijana wengi hawajawahi kusikia sauti yake. Lakini wamewahi kusikia sauti ya Jim Liivuz, Wendo Kolosoy, Bob Maley, nk.
 
Back
Top Bottom