Kwanini NIDA wanauliza maswali wakati nahitaji kutumia NIDA number?

Kwanini NIDA wanauliza maswali wakati nahitaji kutumia NIDA number?

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Nimeenda brela kusajiri biashara yangu tabutubu limited, nimetakiwa kujaza form ambayo inanihitaji niweke nida namba na nimeulizwa maswali kibao utadhani namba ya nida nimeiba..

Nimeulizwa kijiji na mtaa nilio andikisha nida.. mimi nimeandikiswa tegeta hata kijiji sikumbuki, mara shule niliyo soma etc.. ni usumbufu usio na maana kwa karne hii.

Watu wa IT NIDA pamoja na serikali, hata kama mnataka kuverify sio kwa maswali kama haya.. mwisho wa siku nakaribisha rushwa maana kama nimesahau nikimpigia mtu nida ananipa majibu nijaze.

Ushauri wangu ondoeni hili kitu, mtu akijaza namba ya nida basi inatosha japo najua mnadhiniti matumizi ya nida za watu wengine. Hiki kitu kinausumbufu mwingi sana kiasi nimeghairi kusajiri biashara yangu baada ya yangi kutokuwa sahihi.
 
Nimeenda brela kusajiri biashara yangu tabutubu limited, nimetakiwa kujaza form ambayo inanihitaji niweke nida namba na nimeulizwa maswali kibao utadhani namba ya nida nimeiba..

Nimeulizwa kijiji na mtaa nilio andikisha nida.. mimi nimeandikiswa tegeta hata kijiji sikumbuki, mara shule niliyo soma etc.. ni usumbufu usio na maana kwa karne hii.

Watu wa IT NIDA pamoja na serikali, hata kama mnataka kuverify sio kwa maswali kama haya.. mwisho wa siku nakaribisha rushwa maana kama nimesahau nikimpigia mtu nida ananipa majibu nijaze.

Ushauri wangu ondoeni hili kitu, mtu akijaza namba ya nida basi inatosha japo najua mnadhiniti matumizi ya nida za watu wengine. Hiki kitu kinausumbufu mwingi sana kiasi nimeghairi kusajiri biashara yangu baada ya yangi kutokuwa sahihi.
Kitu kizuri nilichopenda jibu upo nalo sasa malalamiko ya nini?
 
Namba yako ikija kutumika ndivyo sivyo bado utailamu serikali na watu wa IT???!! Sasa kama wewe mwenyewe kijiji ulichozaliwa hukitambui wala shule uliyosoma huikumbuki hapo unataka usaidiwe vipi?? Taarifa za mechi za Simba na Yanga mmejaza kwenye vichwa kuliko taarifa za msingi zinazowahusu. Inasikitisha
 
Namba yako ikija kutumika ndivyo sivyo bado utailamu serikali na watu wa IT???!! Sasa kama wewe mwenyewe kijiji ulichozaliwa hukitambui wala shule uliyosoma huikumbuki hapo unataka usaidiwe vipi?? Taarifa za mechi za Simba na Yanga mmejaza kwenye vichwa kuliko taarifa za msingi zinazowahusu. Inasikitisha
mbaya zaidi hata mwaka alio hitimu darasa la saba haujui
 
Back
Top Bottom