Kwanini nikianza kufanya mapenzi na mke wangu mtoto wetu mchanga aliyelala fofofo anaamka na kulia?

Kwanini nikianza kufanya mapenzi na mke wangu mtoto wetu mchanga aliyelala fofofo anaamka na kulia?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Ndg wana jf hivi hii inawakuta na nyie au nimimi tu yani mtoto wetu ni mchanga miezi saba huwa analala fofofo sana lakini tukianza tu kufanya mapenzi huamka na kuanza kulia kwa nguvu sana.
Sasa nimeshindwa kuvumilia Leo nimemfinya na nimesusa kufanya mapenzi kwasababu yake.
 
Mkuu kuna style inabd mkae ili msimdisturb mtt (mnalala zen we unamuingizia kwa nyuma ) au hameni location fanyieni sebuleni au kama sebule hamna bas fanyieni chini sasa we unataka umfanye style ya doggy apo lazma mtt aamke....pia muwe na utulivu wife asilie sana lol.....kimyakimya mnamaliza mnalala....[emoji725]
 
Siku nyingine uwe unamfunikia mvunguni au nyie muwe mnafanyia chini
Ndg wana jf hivi hii inawakuta na nyie au nimimi tu yani mtoto wetu ni mchanga miezi saba huwa analala fofofo sana lakini tukianza tu kufanya mapenzi huamka na kuanza kulia kwa nguvu sana.
Sasa nimeshindwa kuvumilia Leo nimemfinya na nimesusa kufanya mapenzi kwasababu yake.
 
Back
Top Bottom