Mwab Evelina
Member
- Jan 24, 2025
- 12
- 34
Binadamu Mungu ametupatia karama kubwa Sana na tofauti Sana.
Mimi huwa nikimtamkia mtu mema lazima yatokee.
Mfano Mimi ni Jobless sijapata Ajira Ila mpaka sasa nimewatafutia wengi sana Kazi na wamepata mpaka huwa najiuliza huu ni uwezo wa aina gani.
Yawezekana kitu kilichomo ndani yangu ni kikubwa Sana kiasi cha kufika hatua ya mimi kuwa na uwezo wa kuwabariki watu na wakabarikiwa. Ila Mimi nikashindwa kujibariki.
Mimi huwa nikimtamkia mtu mema lazima yatokee.
Mfano Mimi ni Jobless sijapata Ajira Ila mpaka sasa nimewatafutia wengi sana Kazi na wamepata mpaka huwa najiuliza huu ni uwezo wa aina gani.
Yawezekana kitu kilichomo ndani yangu ni kikubwa Sana kiasi cha kufika hatua ya mimi kuwa na uwezo wa kuwabariki watu na wakabarikiwa. Ila Mimi nikashindwa kujibariki.