Kwanini nikisex naye naona madude meupe kuuzunguka uume wangu?

Hapana si kweli inaonekana hufanyi sex bali unapga nyeto afu inaonekana ww bado chalii kuwa kwanza
 
Muulize mwalim wako wa biology apo shule
 
Weka picha ya huo mdude wako ukiwa na hayo madude ili sisi wataalam tuone tukuambie ni kitu gani
 
kheee kumbe kuna umaarufu jf? sikujua hilo dogo.. ila ushauri maliza shule kwanz ukiona nakuboa niweke kwenye ignore list
Ebu nielekeze namna yakukuweka kwenye ignore list maana unacoment pumba hadi namkosea Mungu sababu yako.
 
Jf inawatu wa hovyo sana yani mtu anaomba kujuzwa jambo flan mijitu inamkejeli inajiona inajua sana,imekuwa sana nk.I'ds fake zinawadanganya kuwa nyie ni werevu kupindukia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…