Kwanini nikisex naye naona madude meupe kuuzunguka uume wangu?

Kwanini nikisex naye naona madude meupe kuuzunguka uume wangu?

Waungwana dogo kaomba ushauri lkn naona mipovu tu why
Sasa siku akiambiwa amnyoe huko kwa bibi......[emoji13]
Atakayo yaona, sindio atakuja kutujazia ukurasa mzima humu Jf....[emoji23]
Mapenzi uchafu ati!
Tatizo mleta uzi hajui kwamba huo weupe, ndio utamu wenyewe....[emoji39] [emoji39]
 
Habari za wakati wakati huu wakubwa wenzangu!
Kama kuna mtoto humu naomba anipishe niyatoe ya moyoni huwenda nikanusurika au kufaidika kutoka kwa wataalamu mana sehemu nyingine tuwaachie wataalamu!
Ebhana nimekuwa nikisex na watu tofauti tofauti rika, hadhi na rangi tofauti tofauti ila nimekuwa nikistaajabu kwani wengi ninaowapiga pipe ile kisawasawa huwa nikilichomoa guu langu la tatu naona kama kuna weupe umenizingira nimeshawahi kuhisi huwenda itakuwa na madhara kwangu nikaenda kucheki hospitali but invain sikuona kitu!.
Mara nyingine sipati kuamini yakuwa ni bao lao kwani najua lao sio zito kiasi cha kung'ang'ania kobole langu pia najiuliza au ni ukubwa wa hili bastola au ni magonjwa ya hao wanawake au ni kawaida kwa kila binadau sipati picha!
Kwa umri na heshima yangu nmeshindwa kuomba msaada kokote but ninaamini Jf tuna wataalamu wengi naomba wanisaidie "ule ute mweupe unaoonekana ktk dick during sex ni nini?.
Ni utoko,unaitwa utoko mtoto sikia,narudia tena unaitwa utoko ule,hata mbuzi anao unaweza kwenda kuangalia
 
Usipate tabu dogo huo unaitwa utoko mabakibaki ya makojozi katiyko nayeye ajitaidi kuosha machine vizuri
 
Huu sio ustaarabu hata kidogo.
Mtu kaomba kujua. Kama unajua mfahamishe;
Kama hujui subiri na wewe ili ujifunze.

Kumshambulia mtu kwa kukiri kutokujua kwake hakukufanyi wewe ni bora zaidi yake.

Socrates aliwahi kusema
"I am the WISEST person on earth because i know NOTHING"
Safi sana
 
Hizo ndio zinaitwa chachandu aka mahanjumati tends na halua!!!
 
Baada ya hapo,nitakuwa sioni pumba zako!?

Lakini sijaona iyo opt.natumia opera kulog in jf
hutasikia hata harufu yangu kama unatumia jf up ndiyo najua fanya maarifa uniignore.. au nikusaidie kukuignore ?
 
Hizo ni shahawa za kike!, ukimpiga pipe sawasawa ukaona hayo mambo jua naye huko kamaliza
sidhani kama ni shahawa, ile ni fluid/uteute unaotoka kulainisha uke kwa ajili ya tendo lifuatalo. hutofautiana kulingana na maandalizi uliyo fanya .....kuna wengine hawana kabisa/wanakuwa na ute mwepesi kama kamasi ama maji tu

shahawa ni kitu kingine kabisa
 
Huwa nakutana na hiyo hali kwa mademu ambao hawajatumika kwa muda mrefu but baada ya hapo issue inakata till baadaye tena
 
Tatizo unaanza mapenzi uko shule ya msingi hata hujabalehe, kwa utundu huo unaendelea mpaka sekondari.
Unapokuja kukutana na wakubwa wa kazi ukawarubuni kwa kipaji chako cha uzinzi ndo unakutana na hayo na unaanza kushangaa. Jaribu kumuuliza huyo unayemburudisha akatoa hayo maliquid akwambie huwa anayatoa wapi.
Tena unatembea peku na unajisifu sana amaa kweli ndege mjanja........
Badilika huku tunataka tujadili vyeti vya bashite.
 
Back
Top Bottom