Kwanini nikisex naye naona madude meupe kuuzunguka uume wangu?

Kwanini nikisex naye naona madude meupe kuuzunguka uume wangu?

ha haha bado anafanya utafiti ,, huyu ndiyo wakifika gesti anamwambia demu lala hapo kitandani vua nguo na chupi jipanue anaiangalia weweeee huku anaaikagua kama anasoma ramani anatafuta chile ipo wapi ? h ahahha akue kwanza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jf INA mambo
 
Mkuu wewe si ki.laza wala mtoto kama watu wanavyokukejeli. Kuuliza si ujinga hasa kwa kitu usichokifahamu.

Huyo mpenzi wako yuko sawa, afya yake iko vizuri kabisa, si jambo la kuhofia. Kutokwa kwa hayo maji maji meupe ni suala linaloelezeka kibaolojia.

Hayo maji mazito meupe yanaitwa 'virginal discharge'. Mara nyingi hutokea pale mwanamke anaposisimka wakati wa tendo hasa kipindi ambacho yupo katika 'ovulation'. Haya maji maji meupe mazito hutofautiana kulingana na stage ya ovulation aliyopo, umri, homoni za kike, pamoja na kiwango cha msisimuko. Hayo maji maji pia yanaweza kua na harufu ya uke hasa akiwa stage ya mwisho ya ovulation na rangi ikawa kama cream hivi.

Pia maji hayo yanaweza kutokana na 'single/multiple orgasm' tofauti na sisi wanaume tunaotema 'sumu kali kama koboko' wenzetu wa kike akiwa ktk orgasm mishipa ya 'uterus - mfuko wa uzazi' na mishipa ya uke inapanuka damu ipite hadi eneo la pelvis apaka kwenye 'clitoris', katika hiyo process maji maji hutoka kwenye uke pamoja na makamasi kutoka kwenye tezi 'gland'.

Wala usiwe na tabu. We kula mzigo baba tena ******** keshasema fyatua hata watoto 10. Na huku mjini vijana walivyo 'mcharo' wanapiga deki hayo maji bila hofu - ndo raha ya mapenzi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] magu "fool
OK itakuwa dogo kakuelewa vizuuuuri kabisaaa
 
Wote wanaosema ni uchafu hawajawahi mkojoza mwanamke, hilo jambo ni kawaida endapo mwanamke atafika climax, mashine huwa na ute mweupe kama imepakwa lotion na huwa hayana harufu kabisa.
Ila endapo huo ute utakua na harufu huyo binti atakua na maambukizi mengine kama fungus n.k
 
#maoniyangu#
Mwanamke akifika kilele lazima amwage, kinachomwaga ni ute mzito slindery in nature rangi yaezakua ya maxiwa au kamas zito hivi... wing inategemea bt nt nying sana kiasi cha kilowesha bed bt kushade around papuchi na pipe... baada ya mda ukiendeleza show inakauka na mamalalamiko utayaskia kwake kua naumia n.k ujue ni friction without lubrication ... iyo ni ishara kua karidhika sasa muache baada ya kumwaga... lkn kama ndo umeanza show akamwaga huo ute ucio wa wakawaida bas ujue alipigwa mambo mda mchache ulopita na hakua amenwaga that y yako ni kama mwendelexo kumfikisha kilele haraka, pia inaeza kua ni mgonjwa wa maradh flan ivi ya excessive MPs au maradh mengine... pia ukimuandaa vizuri mwanamke basi anamwaga haraka na kwa wingi zaid huo..... me napita tuu wataalam wataeka sawa
 
ha haha bado anafanya utafiti ,, huyu ndiyo wakifika gesti anamwambia demu lala hapo kitandani vua nguo na chupi jipanue anaiangalia weweeee huku anaaikagua kama anasoma ramani anatafuta chile ipo wapi ? h ahahha akue kwanza
Yaani huyu hata ukimjibu atauliza swali lingine lakijinga zaidi sasa muacheni hivyo hivyo ataelewa tuu
 
Habari za wakati wakati huu wakubwa wenzangu!
Kama kuna mtoto humu naomba anipishe niyatoe ya moyoni huwenda nikanusurika au kufaidika kutoka kwa wataalamu mana sehemu nyingine tuwaachie wataalamu!
Ebhana nimekuwa nikisex na watu tofauti tofauti rika, hadhi na rangi tofauti tofauti ila nimekuwa nikistaajabu kwani wengi ninaowapiga pipe ile kisawasawa huwa nikilichomoa guu langu la tatu naona kama kuna weupe umenizingira nimeshawahi kuhisi huwenda itakuwa na madhara kwangu nikaenda kucheki hospitali but invain sikuona kitu!.
Mara nyingine sipati kuamini yakuwa ni bao lao kwani najua lao sio zito kiasi cha kung'ang'ania kobole langu pia najiuliza au ni ukubwa wa hili bastola au ni magonjwa ya hao wanawake au ni kawaida kwa kila binadau sipati picha!
Kwa umri na heshima yangu nmeshindwa kuomba msaada kokote but ninaamini Jf tuna wataalamu wengi naomba wanisaidie "ule ute mweupe unaoonekana ktk dick during sex ni nini?.

[emoji115]Wewe ndo mtoto mkuu,believe me!!...... Wala sikukebehi!
 
Hapo mabupa huwa yana fight na infections mbali mbali... Hayo mamaji meupe ni difensi mekanisimu ya uchi inapo ingiliwa na vitu vya ovyo ovyo kama mguu wako wa tatu.
Kapime gono.
Looooooooh!!!! Jibu hili kiboko yani!!!
 
We nae umekazana kuwaambia watu wakakue huku kwa majib ya wadau inaonesha kuna contradiction, wengine wanasema ni fungus, wengine orgasm. Sasa ww uliekua leta jib la uhakika sio kujichekesha mbele ya wanaume
Mkuu wanaosems ni fangasi wanadanganya kuna mdau huyu katoa jibu sahihi

Mkuu wewe si ki.laza wala mtoto kama watu wanavyokukejeli. Kuuliza si ujinga hasa kwa kitu usichokifahamu.

Huyo mpenzi wako yuko sawa, afya yake iko vizuri kabisa, si jambo la kuhofia. Kutokwa kwa hayo maji maji meupe ni suala linaloelezeka kibaolojia.

Hayo maji mazito meupe yanaitwa 'virginal discharge'. Mara nyingi hutokea pale mwanamke anaposisimka wakati wa tendo hasa kipindi ambacho yupo katika 'ovulation'. Haya maji maji meupe mazito hutofautiana kulingana na stage ya ovulation aliyopo, umri, homoni za kike, pamoja na kiwango cha msisimuko. Hayo maji maji pia yanaweza kua na harufu ya uke hasa akiwa stage ya mwisho ya ovulation na rangi ikawa kama cream hivi.

Pia maji hayo yanaweza kutokana na 'single/multiple orgasm' tofauti na sisi wanaume tunaotema 'sumu kali kama koboko' wenzetu wa kike akiwa ktk orgasm mishipa ya 'uterus - mfuko wa uzazi' na mishipa ya uke inapanuka damu ipite hadi eneo la pelvis apaka kwenye 'clitoris', katika hiyo process maji maji hutoka kwenye uke pamoja na makamasi kutoka kwenye tezi 'gland'.

Wala usiwe na tabu. We kula mzigo baba tena ******** keshasema fyatua hata watoto 10. Na huku mjini vijana walivyo 'mcharo' wanapiga deki hayo maji bila hofu - ndo raha ya mapenzi.
 
Back
Top Bottom