Kwanini nikisex naye naona madude meupe kuuzunguka uume wangu?

Kwanini nikisex naye naona madude meupe kuuzunguka uume wangu?

Ni kitu cha kawaida, usiogope... vaginal discharge... kwa wale wanaokaa muda mrefu bila kuingiliwa ni kawaida kabisa, na wasioingiza vidole wanapojisafisha ni kawaida pia ila kama yanaambatana na harufu kali, yaweza kuwa infections.
 
Mkuu wewe si ki.laza wala mtoto kama watu wanavyokukejeli. Kuuliza si ujinga hasa kwa kitu usichokifahamu.

Huyo mpenzi wako yuko sawa, afya yake iko vizuri kabisa, si jambo la kuhofia. Kutokwa kwa hayo maji maji meupe ni suala linaloelezeka kibaolojia.

Hayo maji mazito meupe yanaitwa 'virginal discharge'. Mara nyingi hutokea pale mwanamke anaposisimka wakati wa tendo hasa kipindi ambacho yupo katika 'ovulation'. Haya maji maji meupe mazito hutofautiana kulingana na stage ya ovulation aliyopo, umri, homoni za kike, pamoja na kiwango cha msisimuko. Hayo maji maji pia yanaweza kua na harufu ya uke hasa akiwa stage ya mwisho ya ovulation na rangi ikawa kama cream hivi.

Pia maji hayo yanaweza kutokana na 'single/multiple orgasm' tofauti na sisi wanaume tunaotema 'sumu kali kama koboko' wenzetu wa kike akiwa ktk orgasm mishipa ya 'uterus - mfuko wa uzazi' na mishipa ya uke inapanuka damu ipite hadi eneo la pelvis apaka kwenye 'clitoris', katika hiyo process maji maji hutoka kwenye uke pamoja na makamasi kutoka kwenye tezi 'gland'.

Wala usiwe na tabu. We kula mzigo baba tena ******** keshasema fyatua hata watoto 10. Na huku mjini vijana walivyo 'mcharo' wanapiga deki hayo maji bila hofu - ndo raha ya mapenzi.
Bora wewe coz naona wengi wanakejeli tu badala ya kumsaidia MTU wengi humu hujifanya wajuaji Lakini Bashite ktk hizi Anga
 
Yanakuwa meupe kama lotion flani hivi hii mimi huwa naiona kwa demu wangu mmoja hivi nikimpiga paipu kisawasawa lazima hiyo makitu itoke. Ngoja tusubiri wataaalam waje
Inatoaga povu na kudondosha maji maji.. Halafu hayo maji maji yana harufu ya dawa... Mmmmh!
 
Kwa jinsi ulivyouliza swali katu hutopata majibu sahihi. Utatukanaje mamba kabla hujavuka mto? Utaanzaje kutukana watakaoleta majibu badala ya kuwashukuru kwa mchango wao. Naona huna tofauti na akina bashite aka zero
 
Yanakuwa meupe kama lotion flani hivi hii mimi huwa naiona kwa demu wangu mmoja hivi nikimpiga paipu kisawasawa lazima hiyo makitu itoke. Ngoja tusubiri wataaalam waje

Hayo madude meupe ndio utamu wenyewe huo maana yake hafanyi sana kama yananuka nenda hospital ila kama hayanuki jua mko wachache kwa huyo demu
Nawashukuru sana kwa majibu yenu mazuri na mitazamo tofauti ktk uchangiaji pia nimegundua yakuwa kuna wengine hukoment pumber ili wapate like!
Wataalamu nimepokea ushauri wenu, matahira mnaocomment pumba nimewaelewa uwezo wenu wa akili!.
Thanks all for the love.

yani naomba ukue kwanza ndiyo uanze kusex

Jibu mubashara kabisa

Haya Wanaume njooni muufunde Mvulana huku kaparamia vya wakubwa.
 
Back
Top Bottom