Kwanini nikiweka Mafuta kwenye hii sheli yanakaa sana? Kuliko nyingine

Kwanini nikiweka Mafuta kwenye hii sheli yanakaa sana? Kuliko nyingine

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,286
Reaction score
39,418
Ma engineer habari za j2

Wakuu kuna kitu nime experience nimeona nishare hapa tupeane maarifa. Mimi huwa naweka mafuta/fuel kwenye station tatu (3) tu kutokana na mazingira

1. Total
2. Puma
3. Oryx

Hizo mimi ndo najaza mafuta kutokana na uhitaji na eneo ambalo nipo lazma niende moja ya hzo sheli juu.

Lakini kuna kitu nimegundua nikiweka mafuta Total yanakaa sana kuliko station zingine, nmefanya utafiti kwenye gari 3 Ford Ranger, BMW X1 na toyota Ist. Pia hata watu wengine wanasema mafuta ya total yanakaa saa.

Kwenu nyie hili jambo limekaaje kitaaalamu.
 
Sasa unataka yawe yanakaa yasitumike mkuu?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Anyways, mafuta ya hizo fuel station ni mafuta premium na sio ordinary kama yale ya oil com, camel au lake oil. Hayo ni yale premium fuel kwa maana kiwango cha juu.

Ukitazama hata bei zao zinakuwa tofauti. Sheri kama Engine, Total, puma, Victoria na moja jina limenitoka mafuta yao huwa ni premium.
 
Sasa unataka yawe yanakaa yasitumike mkuu?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Anyways, mafuta ya hizo fuel station ni mafuta premium na sio ordinary kama yale ya oil com, camel au lake oil. Hayo ni yale premium fuel kwa maana kiwango cha juu.

Ukitazama hata bei zao zinakuwa tofauti. Sheri kama Engine, Total, puma, Victoria na moja jina limenitoka mafuta yao huwa ni premium.

[emoji28] Mkuu nimesema ukaaji sina maana mbaya
 
Kwanza . Hizo sio sheli Kama ulivyosema na wala sio Sheri Kama mchangiaji alivyokusahihisha. Hizo ni fuel station za kampuni hizo ulizozitaja na wala si za kampuni ya shell maana kampun ya shell haipogo tena.

Kuhusu kukaa Sana Kwa mafuta ni Kama mchangiaji alivyosema na pia kwenye fuel stations kuna janja janja nyingi.
 
Sasa unataka yawe yanakaa yasitumike mkuu?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Anyways, mafuta ya hizo fuel station ni mafuta premium na sio ordinary kama yale ya oil com, camel au lake oil. Hayo ni yale premium fuel kwa maana kiwango cha juu.

Ukitazama hata bei zao zinakuwa tofauti. Sheri kama Engine, Total, puma, Victoria na moja jina limenitoka mafuta yao huwa ni premium.
Hamna lolote mafuta yote muagizaji ni mmoja tu yanaagizwa kwa bulk.Unakuta oryx au puma depo imeishiwa mafuta gari zao zinabadilishiwa oda zinaenda pakia Oil com au lake oil na wanakuja wanamwaga kwenye vituo vyao.
 
Ma engineer habari za j2

Wakuu kuna kitu nime experience nimeona nishare hapa tupeane maarifa. Mimi huwa naweka mafuta/fuel kwenye sheli tatu (3) tu kutokana na mazingira

1. Total
2. Puma
3. Oryx

Hizo mimi ndo najaza mafuta kutokana na uhitaji na eneo ambalo nipo lazma niende moja ya hzo sheli juu.

Lakini kuna kitu nimegundua nikiweka mafuta sheli ya Total yanakaa sana kuliko sheli hzo mbili, nmefanya utafiti kwenye gari 3 Ford Ranger, BMW X1 na toyota Ist. Pia hata watu wengine wanasema mafuta ya total yanakaa saa.

Kwenu nyie hili jambo limekaaje kitaaalamu.
We fala huna hata baiskeli
 
Kuweka sawa hoja zako hebu njoo na takwimu zako za matumizi ya mafuta, gari inatembea kilomita ngapi kwa lita moja?
Ma engineer habari za j2

Wakuu kuna kitu nime experience nimeona nishare hapa tupeane maarifa. Mimi huwa naweka mafuta/fuel kwenye sheli tatu (3) tu kutokana na mazingira

1. Total
2. Puma
3. Oryx

Hizo mimi ndo najaza mafuta kutokana na uhitaji na eneo ambalo nipo lazma niende moja ya hzo sheli juu.

Lakini kuna kitu nimegundua nikiweka mafuta sheli ya Total yanakaa sana kuliko sheli hzo mbili, nmefanya utafiti kwenye gari 3 Ford Ranger, BMW X1 na toyota Ist. Pia hata watu wengine wanasema mafuta ya total yanakaa saa.

Kwenu nyie hili jambo limekaaje kitaaalamu.
Tuwekee data mkuu. Pia usisahau uendeshaji na mazingira ya barabara kwenye cases zote.
 
Back
Top Bottom