Augu_Rider
Member
- Oct 15, 2022
- 52
- 90
Naomba tuelewani vizuri kupitia huu Uzi utajifunza mambo mengi sanaaa kuhusu Fuel
1.Total na puma wanauza mafuta ambayo ni Unleaded. Unleaded ni mafuta yanayochanganyiwa vimiminika uitwa addictives ambayo ni Methane na Benzene ii addictives inaipa mafuta nguvu kufanya uchomaji wa mafuta uwe mdogo tofauti na mafuta mengine yanakuwa sio makali kwa hiyo caburator inakuwa inabugia mafuta
2. Mafuta huletwa kwa bulk na muagiza na serikali sasa kila fuel station inakuwag na utaratibu kwasababu unleaded n bei wanafanyag kuchanganya na vimiminika vingine Ili yawe mengi n kupata faida za juu sas apo ubora wa mafuta unapotea
3. Petrol kuchanganywa na mafuta ya taa. Ila kwasasa Ii imepungua kutokna na serikali ya magu kugundua Ili mafuta ya petrol yalikuwa yanachanganywa na mafuta ya taa Ili yawe mengi fuel station ipate faida ya juu na ndo magufuri kupandisha mafuta ya taa Ili kudiscourage ichi kitendo
N. B petrol ikichanganywa na mafuta ya taa na kuongezewa kimiminika kiitwacho alkanes (paraffins), cycloalkanes (naphthenes), and aromatic hydrocarbons. Hufanya mafuta kuchanganyikan na mtumiaji ambaye sio great thinkers kutojua maan inapoteza halufu na nguvu ya mafuta ya taa kuwa na harufu Kali ya petrol na Ii ufanywa na fuel stations nyingi sana isipokuwa Total pamoja na puma tuuuu
4. Janjaa janjaaa katika vituo vya kuwekea mafuta vituo vingi vimeset mashine kias kwamba uwez kugundua kma unaweka kweny gari ukisoma digital pale inasoma 20 litre kumbe kuna litre 3 zimewekwa pembeni bila wew kujua ndo maan kuna Sheri baadhi ukienda na dumu kuna pump maalumu kwajili ya vidumu kuepuka kuumbukaa
5. Kutokuwa makini na wauhudumu hawa waudumu sio wakuwaamini kabisaaa mi uwa nawakubari sanaaa madereva bajaji wakifika wanazima na kushukaaa wanawekewa mafuta na kuhakiki sometimes unamwambia mafuta ya laki na nusu anaweka ya laki na 20 so kwa kuwa unakuwa na haraka ata risit upati au anakwambia subir pale tuweke roller mara mashine ya inazingua omba risit pia akiki
6. Sas wafanya kazi wengi wa total na puma uongo Bure uwa hawana janjaaa unatak ya 60k unawekewa 60k kwerie
Mwisho ukiangalia takwimu Total ndo alipewa tuzo ya muuzaji wa mafuta Bora Tz 2022 ushauri wa Bure ukikosa total kaweke Puma over kwasababu gari hasa Eurepean car wanakushauri kuweka mafuta masafi ambayo n unleaded Ili kuzuia nozzel pipe zinazopeleka mafuta kwenye caburator
Nini kifanyike ingali nimeweka mafuta kwa muda mrefu ambayo yamechakachuliwa cha kwanza tumia mafuta ad taa ya mafuta iwake then nunua fuel injector zipo za diesel na petrol uwe makini nenda kaweka mafuta yako ya kutosha kaweke unleaded maisha yanasongaaa uajachelewa bado hivi vituo vingine waachien boda wanaweka mafuta ya elfu 3 mara aende uku ya elfu 2 ana cha kupoteza
1.Total na puma wanauza mafuta ambayo ni Unleaded. Unleaded ni mafuta yanayochanganyiwa vimiminika uitwa addictives ambayo ni Methane na Benzene ii addictives inaipa mafuta nguvu kufanya uchomaji wa mafuta uwe mdogo tofauti na mafuta mengine yanakuwa sio makali kwa hiyo caburator inakuwa inabugia mafuta
2. Mafuta huletwa kwa bulk na muagiza na serikali sasa kila fuel station inakuwag na utaratibu kwasababu unleaded n bei wanafanyag kuchanganya na vimiminika vingine Ili yawe mengi n kupata faida za juu sas apo ubora wa mafuta unapotea
3. Petrol kuchanganywa na mafuta ya taa. Ila kwasasa Ii imepungua kutokna na serikali ya magu kugundua Ili mafuta ya petrol yalikuwa yanachanganywa na mafuta ya taa Ili yawe mengi fuel station ipate faida ya juu na ndo magufuri kupandisha mafuta ya taa Ili kudiscourage ichi kitendo
N. B petrol ikichanganywa na mafuta ya taa na kuongezewa kimiminika kiitwacho alkanes (paraffins), cycloalkanes (naphthenes), and aromatic hydrocarbons. Hufanya mafuta kuchanganyikan na mtumiaji ambaye sio great thinkers kutojua maan inapoteza halufu na nguvu ya mafuta ya taa kuwa na harufu Kali ya petrol na Ii ufanywa na fuel stations nyingi sana isipokuwa Total pamoja na puma tuuuu
4. Janjaa janjaaa katika vituo vya kuwekea mafuta vituo vingi vimeset mashine kias kwamba uwez kugundua kma unaweka kweny gari ukisoma digital pale inasoma 20 litre kumbe kuna litre 3 zimewekwa pembeni bila wew kujua ndo maan kuna Sheri baadhi ukienda na dumu kuna pump maalumu kwajili ya vidumu kuepuka kuumbukaa
5. Kutokuwa makini na wauhudumu hawa waudumu sio wakuwaamini kabisaaa mi uwa nawakubari sanaaa madereva bajaji wakifika wanazima na kushukaaa wanawekewa mafuta na kuhakiki sometimes unamwambia mafuta ya laki na nusu anaweka ya laki na 20 so kwa kuwa unakuwa na haraka ata risit upati au anakwambia subir pale tuweke roller mara mashine ya inazingua omba risit pia akiki
6. Sas wafanya kazi wengi wa total na puma uongo Bure uwa hawana janjaaa unatak ya 60k unawekewa 60k kwerie
Mwisho ukiangalia takwimu Total ndo alipewa tuzo ya muuzaji wa mafuta Bora Tz 2022 ushauri wa Bure ukikosa total kaweke Puma over kwasababu gari hasa Eurepean car wanakushauri kuweka mafuta masafi ambayo n unleaded Ili kuzuia nozzel pipe zinazopeleka mafuta kwenye caburator
Nini kifanyike ingali nimeweka mafuta kwa muda mrefu ambayo yamechakachuliwa cha kwanza tumia mafuta ad taa ya mafuta iwake then nunua fuel injector zipo za diesel na petrol uwe makini nenda kaweka mafuta yako ya kutosha kaweke unleaded maisha yanasongaaa uajachelewa bado hivi vituo vingine waachien boda wanaweka mafuta ya elfu 3 mara aende uku ya elfu 2 ana cha kupoteza