Kwanini nikiweka Mafuta kwenye hii sheli yanakaa sana? Kuliko nyingine

Leaded and unleaded may be the course lakin Kwa uelewa wangu mafuta ni Yale Yale
 
 
Aiseee kama hujui bora unakaa kimya tu
 
Kuna sheri inaitwa muro ukijaza ya 50 unakutana na lita 17 lakini kwao inasoma 20 watu wa hapa bahi cha ajabu wanaagiza mafuta mjini na wanauza sana mtaan kuliko sheli

Sema kuna kituo cha mafuta kinaitwa Muro
Shell nayo ni kampuni tofauti
Najua tumezoea kila Fuel Station tunaita Agip au shell
Ni masahihisho tu sawa
 
Ok kwanza naomba nikurekebishe shell ni company na yenyewe ina vituo vya mafuta kama hivyo hivyo ni vituo vya mafuta makampuni hayo uliyoyataja turudi kwenye mada mafuta yanayouzwa vituo vyote tz ni sawa isipokua total wanavosema wao wana regular japo sina uhakika nalo na kingine naona labda suala la vipimo na kuna kuzidiwa kete mkuu
 
Nawe umekosea, umechanganya Lugha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…