Kwanini niliamua kuwa raster man[why do i choose to be raster man]

Jah rasta farian Al Selas ate it n let it pass on, aii maan @B’REAL me luvin em dis story ile videdly unitag man!
 
Greetings in that Most Precious and Divine Name of Our Lord and Saviour Jesus Christ
Jah Rastafari ............
 
nilikaa nikajitasimini nini nataka kunye maisha yangu....nikagundua ni furaha,na hiyo furaha nita ipataje ni kufanya wengine wawenafuraha.nimiaka 21 sasa niko kwenye imani hi,nafuraiya na ninapenda sana
Hello to Tafarai...!

Bob Ashanti, Nyabhingi or?

Jah Bless all...!
 
Hello to Tafarai...!

Bob Ashanti, Nyabhingi or?

Jah Bless all...!
WANGWAN rasta....kuna madhehebu tofauti tunaita [Nyumba za rastafarai] yale maarufu nikama Bobo Asanti, Nyabhingi, ethiopian zion church na twelve trible of Israel ambao hawa wana tafsiri tofauti ya imani za kirastafari.
 
WANGWAN rasta....kuna madhehebu tofauti tunaita [Nyumba za rastafarai] yale maarufu nikama Bobo Asanti, Nyabhingi, ethiopian zion church na twelve trible of Israel ambao hawa wana tafsiri tofauti ya imani za kirastafari.
"Haile Selassie" ni nani kwako(rastafarian)?
 
Kwanini niliamua kuwa raster man[why do i choose to be raster man]

MZEE BABA KWA KIINGEREZA HIKO YANI WEWE UNASTAHILI KUWA RASTA KABISA

Hapo kuna Verb ambayo inakulazimu uipe past tense
 
Duuu ngoja nikipata kamuda nilipitie hili bandiko nielewe na kuuliza japo swali
 
Mimi ningeweza kuwa rastafari ila Bange zenu ndo shida. Nasikia mnasoma sana Biblia vipi kuna sehemu wanasema kuhusu hii kitu ya Chuga.
 
Mimi ningeweza kuwa rastafari ila Bange zenu ndo shida. Nasikia mnasoma sana Biblia vipi kuna sehemu wanasema kuhusu hii kitu ya Chuga.
ile ni meditation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…