Kwanini niliamua kuwa raster man[why do i choose to be raster man]

Kwanini niliamua kuwa raster man[why do i choose to be raster man]

Kama tunakubaliana tafsiri, masia ni mkombozi.
1. Je, Haile Selassie alikuwepo kwa ajili ya kumkomboa nani, kutokana na nini?
2. Aliupateje huo umasia?
rasta Haile selassie ni Masia,nabii wa kibinadamu alie kuja kuokoa generations ya Africa na kizazi chake,Naomba nikufungulie kidogo kuhusu History ya Haile selassie i, alizaliwa 23 july 1892 na akafariki 27 august 1975.
alikuwa kiongozi wa Ethiopian regent kutoka mwaka 1916-1930, na emperor kutoka 1975 to 1974. alikuwa ni member kutoka kabila la solomoni,ukifatilia lineage-ametokea katika emperor Menelik-kupitia Shewan royal ancestors-ambae alikuwa mjukuu mkubwa wa King Sahle selassie,mtoto wa Sahle salessie alikuwa mama wa Woldemikael[Makonne woldenmikael Guddisa]ndo alikuwa baba wa Haile selassie i na mama ake alikuwa Yeshimebet Mikael[mtoto wa Ras Ali of bete Amhara/wollo].kama unapenda kujua zaidi soma bibilia.
 
Kama tunakubaliana tafsiri, masia ni mkombozi.
1. Je, Haile Selassie alikuwepo kwa ajili ya kumkomboa nani, kutokana na nini?
2. Aliupateje huo umasia?
Amekuja kutukokoa katika darkness ya nguvu za Babylon system...............fireeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee fireeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee on dem
 
Binafsi nimezaliwa kwenye familia yenye itakadi ya dini ya kisilamu, japo sio siasa kali sana.ila nimepita pita madrasaa, ila katika kukuwa kwangu nilikua mtukutu sana mpaka na maliza darasa lasaba mwaka 1997 nilikua nishaanza kuvuta marujuana, so nilipo maliza shule ya msingi nilijichanganya na watoto wengine wa kihuni tukakimbilia mererari kwenda kutafta pesa, sababu kipindi hicho wanapolo ndo ilikua habari ya arusha.nakumbuka siku agaa nyumbani nilitoroka.

Kweli tulifika mererani kwani wezangu walikuwa washawai kwenda mara kazaa, rasimi nikaanza unyokaa sasa, kaziangu ilikuwa kutumwa majii,sigara,kununua kwa pusha ganja na kuwarolia[kuwasokotea ma braza wakubwa] alhamdulilaaah nilikuwa napata pataa vipesa maana kuna ma braza walikuwa wakizama chini[manta]wananiachia mzigo yao unakuta kuna tanzanite na hifadhi mpaka watoke then wakienda kuuza napewa kiaina au wengine na wachikichia naenda kuuza.

kutokana na tabia yangu ya ujanjaa, ushapuu na kutokuwa na kiereeree,ilinifanya ma bro wengi kunipenda na kuuza kushuka chini manta rasmi, nikiwa kama nyoka wa mchorongaji mkuu, kaziangu ilikuwa ni kushusha diga na kupandisha.kikweli maisha yalikuwa matamu sana shimoni.

familia yangu ilipata tarifa niko machimboni, ila hawajui mgodi gani,so kuna bro alikuwa broka aliambiwa anitafte anirudishe ili niende shule,nilipo kutana na yule bro akaniambia jioni tunaondoka wote nikaona ananichezea ikawa mi nashinda shimoni tu, nikipanda nikuja kula diko na shuka chini.maisha ya niendelea na mnamo mwaka 1998.
Huu mwandiko na wa kwenye uzi ni vitu viwili tofauti. kuna sehemu ume- copy na pest huo uzi[emoji41]
 
eah, yeah, yeah - ragga so ragga

You don't ha fi dread to be rasta (don't ha fi dread)
This is not a dreadlocks thing
Divine conception of the heart, well
(repeat)

Oh, it's a life of a livity
Lived by the fathers of our history
Uphold the ancient and prophecy
Trust in the power of the Trinity, yeah
Got to believe in His Majesty
Oh yes, his lineage an divinity
The first step is serenity
Knowing one self's true royalty, yeah

You don't ha fi dread to be Rasta, yeah
(don't ha fi dread)
This is not a dreadlocks thing
Divine conception of the heart, well
(repeat)

Don't be afraid of Jah ever burning fire
Trust in Jah fire and you never get burn
The fire that reigns over heat, air and water
No water can put out Jah fire
Jah fire gonna lift Rasta higher
Nikuulize swali mkuu?
 
Huu mwandiko na wa kwenye uzi ni vitu viwili tofauti. kuna sehemu ume- copy na pest huo uzi[emoji41]
mkuu kuwa na imani ni nacho kwambia ndo ninacho maanisha tafuta popote kama kuna mahali imechukuliwa ntakupa zawadi.
 
Hii ni imani Kama imani nyingine best, wale marastafari wenyewe wapo peace sana na mmea ni sehemu ya ibada 😃
tatizo Meeyah rastaefari[rastaman] Tanzania anachukuliwa kama muhuni flani, mtu alie kosa muelekeo wa maisha.na hii imesababishwa na dreadlock ambao sio Rastafarian ambao wanafuga rasta kwa ajili ya fasheni,unakuta matendo wanayo fanya niyakiuni sana,wanatumia ganja kama kilevi sio means ya meditation for levity, Wahuni wengi wamefuga nywele sio rasta.
 
tatizo Meeyah rastaefari[rastaman] Tanzania anachukuliwa kama muhuni flani, mtu alie kosa muelekeo wa maisha.na hii imesababishwa na dreadlock ambao sio Rastafarian ambao wanafuga rasta kwa ajili ya fasheni,unakuta matendo wanayo fanya niyakiuni sana,wanatumia ganja kama kilevi sio means ya meditation for levity, Wahuni wengi wamefuga nywele sio rasta.
Wengine tunafuga Kama fasheni na ganja ni sehemu tu ya starehe. Unataka kuniambia kama sio rastaman huruhusiwi kutumia ganja?
 
Wengine tunafuga Kama fasheni na ganja ni sehemu tu ya starehe. Unataka kuniambia kama sio rastaman huruhusiwi kutumia ganja?
hapana japo si halalishi....ila maraisi wengi na watu wengi wenye IQ kubwa wanavuta au walishawai kuvuta bangi, eg Obama,Kenya mkubwa na mdogo,achia mbali ma professor kibao wanakula jani.....ule mmea unakufungua akili na unaona vitu vya kindani zaidi, unakuwa na maono.mi ukiniambia niache ninywe pombe abadani siwezi.
 
hapana japo si halalishi....ila maraisi wengi na watu wengi wenye IQ kubwa wanavuta au walishawai kuvuta bangi, eg Obama,Kenya mkubwa na mdogo,achia mbali ma professor kibao wanakula jani.....ule mmea unakufungua akili na unaona vitu vya kindani zaidi, unakuwa na maono.mi ukiniambia niache ninywe pombe abadani siwezi.
😃😃 Nakuelewa sana
 
Back
Top Bottom