Kaka bado haujaelewa kuhusu Rastafarian.Dadekii wengi wenuu mnakuwa njaa Kali mnafuga nywele hamzitunzi zinakuwa chafu hapa bongo
nikiwa rastafari ni lazima nitumie bangi kama sehemu ya kuwa miongoni mwenu?mkuu uliza
Kwani ukivuta inamadhara?Mkuu mfano nikichukua majani yake nikatengeneza Kama juice hivi
Kuna weza kua na athari yoyote?
Haina madhara ila nataka kuitumia Kama dawa yani niichemshe Kama supuKwani ukivuta inamadhara?
kwahyo mkuu ulibadili dini kutoka Uislamu mpaka Ukristo kwasababu ya kua rastando huyo huyo....mkuu Mungu anamajina mengi,hata kilugha chako anajina lake.tatizo hapa ni jinsi ya imani shirikishi ila wote tunamuamini Mungu wa universal ambae aliumba pepo na jehanamu na ndo maana utaona kitabu chetu ni bibilia Angano lakale. Umenipata uzuri