Kwanini niliamua kuwa raster man[why do i choose to be raster man]

Dadekii wengi wenuu mnakuwa njaa Kali mnafuga nywele hamzitunzi zinakuwa chafu hapa bongo
Kaka bado haujaelewa kuhusu Rastafarian.
Rastafarian siyo material possessions /siyo pesa wala mali. Ni roho /nafsi yako . Ni utajili wa Nafsi /spirit . Wanawekeza zaidi kwenye usafi wa Roho/nafsi siyo kwenywe nywele /deadlocks
 
kwahyo mkuu ulibadili dini kutoka Uislamu mpaka Ukristo kwasababu ya kua rasta
 
nikiwa rastafari ni lazima nitumie bangi kama sehemu ya kuwa miongoni mwenu?
Bangi Ni ibada...ili uwe connected spiritually,lazima ule mjani.unaweza kuwa mromani katoliki then huna rozali?
 
Wewe sio rear Rastafarian 👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20241110-112458.png
    78.3 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…