Mohamed Abubakar
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 984
- 1,179
Ni kweli kiongozi.sawa mkuu.
Japo haya mambo ya kiimani huwa ni kua na imani na kitu fulani kwanza then unajenga au kukiboresha.
Wengi ninaokutana nao wako hivyo, so info zao nyingi zinabase kwenye kile alichokiamini mwanzo ama lah kakiboresha kidogo.
Ukianza kupigwa basi pigana. Nikutangaza mapigo kwa wasioamini wala si kwa walioanza kukupiga pia tangaza vita hadi dini ya allah itakapotawala.Ulo wro
Ulo wrong, mnaisoma juu juu, itanichukua muda mwingi kukuelekeza.
Hiyo aya ya kwenye anfaal ni maelekezo wapigane sababuwao ndio walianza kupigwa.
Hizi aya umesoma juu juu anzia aya za nyuma yake utapata majibu, hiyo suurat tawba anza mwanzo mpaka hapo jibu litakuja automatically, usipoelewa nitakusaidia.
Nitajipa kazi, amini unavyotaka kuamini kila mtu na imani yakeMungu hawezi kujitetea hadi analazimisha? Last revelation iliyoshushwa na Mungu kuja kupinga ya kale yaliyotolewa na Allah huyo huyo. Allah ni kigeugeu sana
Hawana ukweli ni vita tu usipokuwa nao njia moja.Ukweli ni upi
Ulo wro
Ulo wrong, mnaisoma juu juu, itanichukua muda mwingi kukuelekeza.
Hiyo aya ya kwenye anfaal ni maelekezo wapigane sababuwao ndio walianza kupigwa.
Hizi aya umesoma juu juu anzia aya za nyuma yake utapata majibu, hiyo suurat tawba anza mwanzo mpaka hapo jibu litakuja automatically, usipoelewa nitakusaidia.
🤣🤣🤣 KumbeHawana ukweli ni vita tu usipokuwa nao njia moja.
Naam sahihi, kabisa ni Muislamu wa kwanza katika Umma ambao yeye ametumwa kuwafikishia ujumbe.1. Katika Suran 6: 163 Koran inadai kuwa Muhammad ndie Muislam wa kwanza.
Mi kuingia kwenye imani yenu labda ingekuwa kusaka totoz siyo kuamini ya kuwa ni imani ya M/Mungu. Kwenye kumponda jiwe shetani ningeshiriki japo sijui huwa amehifadhiwa humo au la.N
Nitajipa kazi, amini unavyotaka kuamini kila mtu na imani yake
Quran inamuhukumu nabii issa kama ni mtu mwenye dhambi kwamba Mungu anamuuliza Yesu wewe umejitakasa ?😅😅😅😅 Quran imekua injili ya Yesu tena? Maulamaa wa kiislamu hajawahi toa kauli kama hii,dadavua vizuri shehe. Inakuaje injili ya Yesu wakati haijui alizaliwa wapi,haina hata unabii wa kuelezea mpaka anazaliwa ni kwa sababu gani? Mnamwita ISa bin Mariam masih kalini hamjui ni masih wa nini,nani.
Habari za nabii kupewa kitabu ni zenu waislam,kwetu wakristo manabii na mitume walikuja kwa kazi ya kufundisha,kuonya na kuongoza watu katika zama zao. Yesu hakuacha kitabu bali rekodi za mafundisho na matendo yake. Imani ilianza kwanza wakati yupo hapa duniani kisha maandiko yakafuata. Issa aliyepewa kitabu sio Yesu tunaemuamini wakristo.
Mbona watu wanadai Yesu alikuwa muislamu pia?? Kama mudi wa jana tu ndo muislamu wa kwanza, hii ya Yesu wa zamani huko before Mudi mnampaje uislamu?Naam sahihi, kabisa ni Muislamu wa kwanza katika Umma ambao yeye ametumwa kuwafikishia ujumbe.
Mkuu ni kweli kulikuwa na uislam kabla ya prophet Muhammad?Naam sahihi, kabisa ni Muislamu wa kwanza katika Umma ambao yeye ametumwa kuwafikishia ujumbe.
Quran haina Yesu. Inae IssaQuran inamuhukumu nabii issa kama ni mtu mwenye dhambi kwamba Mungu anamuuliza Yesu wewe umejitakasa ?
Wakati huku sisi wakristo tunaamini Yesu alikuwa ni mtu mwenye haki alisimama kwa niaba ya watu wasio haki
Jibu ni hapana maana quran inadai Mudi ndo muislam wa kwanza. Wengine wote watakaokuambia ulikuwepo kabla yake waongo tu.Mkuu ni kweli kulikuwa na uislam kabla ya prophet Muhammad?
Yesu hakuwahi kukabidhiwa kitabu mjomba.Toa evidence kwamba Yesu alika idhiwa kitabu.Hata Muhammad amekufa bila kujua Kuna kitabu kinaitwa Quran.Quran unasimama bila hadithi.
By the way level ya hadithi ktk ukristo ndio level ya biblia. (Hasa agano jipya)
Level ya Quran ni injili origi ambacho ndicho kitabu alichokabidhiwa yesu.
Kwasasa haipo. Wanasema kabla kuigoogle injili ya barnaba. Ambayo nayo inapotezwa.
Hadithi zimechakachuliwa kama ilivyochakachuliwa injili na kuitwa agano jipya.
Kwa ufupi Quran inajisimamia yenyewe na kujitosgeleza.
Ikichomwa Quran yote leo imeandikwa upya hata na watoto waliyoihifadhi vichwani mwao.
Muujiza mwingine huu
Oyaaa!! Qur'an alishushiwa Mudi, Yesu hakukabidhiwa kitabu (kama waislamu waaminishwavyo na quran yao). Kitabu kiliandikwa na wafuasi wa Yesu walioshuhudia ukuu wake.Yesu hakuwahi kukabidhiwa kitabu mjomba.Toa evidence kwamba Yesu alika idhiwa kitabu.Hata Muhammad amekufa bila kujua Kuna kitabu kinaitwa Quran.
Maalim.Nakuja...
Huyu hapa ni miongoni mwa waliolishwa maneno kutokana na jibu lake au yuko sahihi.
View attachment 2948313
Unaweza kutupa evidence za haya unayoyaongea?Maalim.
Tuseme historia vzr.
Yesu alikuja ktkt ya dola ya rumi ya kale. Moja ya viongozi wakuu wa dola hii ni mtoto wa mfanyabiashara mkubwa wa wakati huo ambae ni sauli.
Yesu alipoanza kupingana na utawala wa rumi, makuhani na wa kirumi wakamuona ni tishio.
Sauli akiongozana na wasiojulikama wakaanza kuwauwa wafuasi ya yesu kwa kuwafata misikitini (sinagogi) watoto hawa wa ukoo wa daudi.
Wakaanza kumfungulia kesi kama Lissu. Na mwisho wakamhukumu kifo.
Baada ya kutokea yaliyotokea. Na yesu kupaa, sauli atajiondokea zake kutoka Palestine hadi hadi syria.
Pale Palestine Jerusalem wakimpinga kwa kusema kwake yule yesu na kwa jinsi alivyonusurika kupata adhabu ya laana kwa wayahudi akasema huyu yesu ndie Mungu mwenyewe. Na wala hakutumwa na Mungu bali yeye ndie mungu.
Kwa ufupi adhabu ya kusulubiwa kwa warumi ilikuwa ni adhabu ya juu kwa mtu aliwapinga sheria za warumi na kwao waliita ni adhabu anayopewa aliyelaaniwa na Mungu wa warumi.
Na kwamba kikubwa tunachojifunza sasa. Na sisi tuwe tayari kusubiwa, kuwekwa ktk mifuko ya sandarusu kupinga utawala huu wa kibinadamu na kupigania sheria za Mungu zitawale hapa duniani.
Jukumu hilo kwasasa wanalo waislam pekee. Na wako tayari kufungwa kwa miaka kadhaa kwa kosa la LENYE adhabu kubwa kwasasa kwa ajili ya kundi hilo.
Kosa la ugaidi wanaoutengeneza wenyewe watawala.
Hao akina mathayo uliowataja hawakuwahi kumuona yesu,walikuta kaondokaHabari wana theolojia.
Mathayo, Marko, Luka na Yohana hawa walikuwa ni mashahidi wa macho waliopata kumuona na kumsikia Yesu Kristo, hata baadaye wakapata msukumo kupitia roho mtakatifu kuyaandika yale ambayo kristo alokuwa akiyasema....
Huwa sipatagi kuelewa kwanini kundi fulani la watu wamejikita kumuamini na kuyaamini mafundisho potofu kumhusu Yesu Kristo yaliyoasisiwa na mtu aliyekuja kuishi miaka 600 baada ya kufa Yesu Kristo.
Mathayo, Marko, Luka na Yohana wote wanadai kuwa Kristo Yesu alikuwa ni MUNGU, jamaa anakuja miaka 600 baadaye anasema haikuwa hivyo. Mbaya zaidi ili kuhalalisha kauli yake akasingizia kuwa ameambiwa na Mungu.
Na licha ya hayo yote watu wakapata kumuamini.
Dah! sijui ipo sababu ipi kwakweli?