Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

sawa mkuu.
Japo haya mambo ya kiimani huwa ni kua na imani na kitu fulani kwanza then unajenga au kukiboresha.

Wengi ninaokutana nao wako hivyo, so info zao nyingi zinabase kwenye kile alichokiamini mwanzo ama lah kakiboresha kidogo.
Ni kweli kiongozi.

imani ni hisia. Na wataalamu wabobezi huwa wanatumia maarifa kwenda kugusa hisia zetu.
Ni vigumu sama kumbadili ambae keshachongwa kupitia imani.
 
Ulo wro

Ulo wrong, mnaisoma juu juu, itanichukua muda mwingi kukuelekeza.

Hiyo aya ya kwenye anfaal ni maelekezo wapigane sababuwao ndio walianza kupigwa.
Hizi aya umesoma juu juu anzia aya za nyuma yake utapata majibu, hiyo suurat tawba anza mwanzo mpaka hapo jibu litakuja automatically, usipoelewa nitakusaidia.
Ukianza kupigwa basi pigana. Nikutangaza mapigo kwa wasioamini wala si kwa walioanza kukupiga pia tangaza vita hadi dini ya allah itakapotawala.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Ulo wro

Ulo wrong, mnaisoma juu juu, itanichukua muda mwingi kukuelekeza.

Hiyo aya ya kwenye anfaal ni maelekezo wapigane sababuwao ndio walianza kupigwa.
Hizi aya umesoma juu juu anzia aya za nyuma yake utapata majibu, hiyo suurat tawba anza mwanzo mpaka hapo jibu litakuja automatically, usipoelewa nitakusaidia.
  • Fighting is obligatory for you, much as you dislike it. - 2:216
 
N

Nitajipa kazi, amini unavyotaka kuamini kila mtu na imani yake
Mi kuingia kwenye imani yenu labda ingekuwa kusaka totoz siyo kuamini ya kuwa ni imani ya M/Mungu. Kwenye kumponda jiwe shetani ningeshiriki japo sijui huwa amehifadhiwa humo au la.
 
  • Kicheko
Reactions: 511
😅😅😅😅 Quran imekua injili ya Yesu tena? Maulamaa wa kiislamu hajawahi toa kauli kama hii,dadavua vizuri shehe. Inakuaje injili ya Yesu wakati haijui alizaliwa wapi,haina hata unabii wa kuelezea mpaka anazaliwa ni kwa sababu gani? Mnamwita ISa bin Mariam masih kalini hamjui ni masih wa nini,nani.

Habari za nabii kupewa kitabu ni zenu waislam,kwetu wakristo manabii na mitume walikuja kwa kazi ya kufundisha,kuonya na kuongoza watu katika zama zao. Yesu hakuacha kitabu bali rekodi za mafundisho na matendo yake. Imani ilianza kwanza wakati yupo hapa duniani kisha maandiko yakafuata. Issa aliyepewa kitabu sio Yesu tunaemuamini wakristo.
Quran inamuhukumu nabii issa kama ni mtu mwenye dhambi kwamba Mungu anamuuliza Yesu wewe umejitakasa ?

Wakati huku sisi wakristo tunaamini Yesu alikuwa ni mtu mwenye haki alisimama kwa niaba ya watu wasio haki
 
Naam sahihi, kabisa ni Muislamu wa kwanza katika Umma ambao yeye ametumwa kuwafikishia ujumbe.
Mbona watu wanadai Yesu alikuwa muislamu pia?? Kama mudi wa jana tu ndo muislamu wa kwanza, hii ya Yesu wa zamani huko before Mudi mnampaje uislamu?
 
  • Thanks
Reactions: 511
Quran inamuhukumu nabii issa kama ni mtu mwenye dhambi kwamba Mungu anamuuliza Yesu wewe umejitakasa ?

Wakati huku sisi wakristo tunaamini Yesu alikuwa ni mtu mwenye haki alisimama kwa niaba ya watu wasio haki
Quran haina Yesu. Inae Issa
Allah sio Jehova
 
Mkuu ni kweli kulikuwa na uislam kabla ya prophet Muhammad?
Jibu ni hapana maana quran inadai Mudi ndo muislam wa kwanza. Wengine wote watakaokuambia ulikuwepo kabla yake waongo tu.
 
Quran unasimama bila hadithi.

By the way level ya hadithi ktk ukristo ndio level ya biblia. (Hasa agano jipya)

Level ya Quran ni injili origi ambacho ndicho kitabu alichokabidhiwa yesu.

Kwasasa haipo. Wanasema kabla kuigoogle injili ya barnaba. Ambayo nayo inapotezwa.

Hadithi zimechakachuliwa kama ilivyochakachuliwa injili na kuitwa agano jipya.

Kwa ufupi Quran inajisimamia yenyewe na kujitosgeleza.

Ikichomwa Quran yote leo imeandikwa upya hata na watoto waliyoihifadhi vichwani mwao.

Muujiza mwingine huu
Yesu hakuwahi kukabidhiwa kitabu mjomba.Toa evidence kwamba Yesu alika idhiwa kitabu.Hata Muhammad amekufa bila kujua Kuna kitabu kinaitwa Quran.
 
Yesu hakuwahi kukabidhiwa kitabu mjomba.Toa evidence kwamba Yesu alika idhiwa kitabu.Hata Muhammad amekufa bila kujua Kuna kitabu kinaitwa Quran.
Oyaaa!! Qur'an alishushiwa Mudi, Yesu hakukabidhiwa kitabu (kama waislamu waaminishwavyo na quran yao). Kitabu kiliandikwa na wafuasi wa Yesu walioshuhudia ukuu wake.
 
Makafiri wanachukua vipande vya kwenye mtandao wanaunga hata aya hazipo. Ndiyo maana wenzetu wakisoma Quran huwa wanasilimu kwa haraka kutokana na uongo wanaoaminishwa mitandaoni kutoonekana kwenye kitabu.
 
Nakuja...
Huyu hapa ni miongoni mwa waliolishwa maneno kutokana na jibu lake au yuko sahihi.
View attachment 2948313
Maalim.

Tunakwenda vzr na tutafika.

Ili iweze kunielewa ni vzr ujifunze na kuelewa asili na misingi ya dini ya kiislam.

Imani ya kiislam inaitakidi kuwa asili watu wote ni waislam. Bali wazazi wao huwatoa katika uislam na kuwaongiza ktk uyahudi, unaswara na umajusi.

Ninyi ndugu zetu wakristo ktk Quran mumetajwa kama manaswara.

Manaswara ni watu waliodisinfomed ktk imani wakidhani wanamfata yesu kumbe imani yao imekuwa contaminated na bila kujuja badala ya kufata maandiko ya injili. Wameletewa kitabu kipya kinachonasobishwa na injili.

Kumbe ni kitabu cha waandishi waliomlisha maneno yesu kwa zaidi ya 90%

Nikirudi kwenye suali lako.

Waislamu walifata kitabu gani kabla ya Muhammad.

Jibu Uislamu haukuanza kwa Muhammad bali kwa mtume wa kwanza adam.

Kati ya adam hadi Muhammad ambae ktk Uislamu ndie mtume na nabii wa mwisho kuliletwa maarifa (vitabu) 4 vikiwemo zaburi, torati injili, quran na vijarida (suhuf) vingi.

kwa hiyo kwa imani ya uislam Quran ni muunganiko wa na nyongeza ya Zaburi, tofati na injili.

Changamoto iliopo ni muunganiko gani kati ya Quran na biblia uko authentic na ndio ulio na maarifa sahihi zaidi.

Iwapo Quran inasema yesu alifundisha ukristo wala hatujui ukristo wala hujawahi kujiita yeye ndie mwenyzimungu.

Iweje ktk mkusanyiko wa zaburi, injili na torati ndani ya biblia ulete contradiction ndani ya biblia na kumnasibisha yesu na ukristo.

Hii ndio kazi ya maarifa ya ubobezi ktk ngazi ya falsafa. Na namkubali Prof Sauli ni mwanachuoni mkubwa wa ngazi ya falsafa hujawahi kutokea tokea dunia iumbwe.

Nadhani nimejibu suali lako.
 
elewa maana ya kitabu.


Si kama unavyojua huu muunganiko wa makaratasi.

Kitabu ni maarifa kutoka kwa mwenye Mungu.

Na walikuwa nayo pekee tofauti na wanadamu wengine hadi leo.

Ndio maana wabaitwa manabii na mitume.

Sasa hawa mnaiwafata si manabii si mitume. Hawa wanakariri baadhi ya maandishi (disinformation) tu.

Kwa hiyo mitume wote hawakukabishiwa hata makaratasi kama ulivyokabidhiwa wewe cheti siku ya mahafali.
 
Maalim.

Tuseme historia vzr.

Yesu alikuja ktkt ya dola ya rumi ya kale. Moja ya viongozi wakuu wa dola hii ni mtoto wa mfanyabiashara mkubwa wa wakati huo ambae ni sauli.

Yesu alipoanza kupingana na utawala wa rumi, makuhani na wa kirumi wakamuona ni tishio.

Sauli akiongozana na wasiojulikama wakaanza kuwauwa wafuasi ya yesu kwa kuwafata misikitini (sinagogi) watoto hawa wa ukoo wa daudi.
Wakaanza kumfungulia kesi kama Lissu. Na mwisho wakamhukumu kifo.

Baada ya kutokea yaliyotokea. Na yesu kupaa, sauli atajiondokea zake kutoka Palestine hadi hadi syria.

Pale Palestine Jerusalem wakimpinga kwa kusema kwake yule yesu na kwa jinsi alivyonusurika kupata adhabu ya laana kwa wayahudi akasema huyu yesu ndie Mungu mwenyewe. Na wala hakutumwa na Mungu bali yeye ndie mungu.

Kwa ufupi adhabu ya kusulubiwa kwa warumi ilikuwa ni adhabu ya juu kwa mtu aliwapinga sheria za warumi na kwao waliita ni adhabu anayopewa aliyelaaniwa na Mungu wa warumi.

Na kwamba kikubwa tunachojifunza sasa. Na sisi tuwe tayari kusubiwa, kuwekwa ktk mifuko ya sandarusu kupinga utawala huu wa kibinadamu na kupigania sheria za Mungu zitawale hapa duniani.

Jukumu hilo kwasasa wanalo waislam pekee. Na wako tayari kufungwa kwa miaka kadhaa kwa kosa la LENYE adhabu kubwa kwasasa kwa ajili ya kundi hilo.

Kosa la ugaidi wanaoutengeneza wenyewe watawala.
Unaweza kutupa evidence za haya unayoyaongea?
 
Habari wana theolojia.

Mathayo, Marko, Luka na Yohana hawa walikuwa ni mashahidi wa macho waliopata kumuona na kumsikia Yesu Kristo, hata baadaye wakapata msukumo kupitia roho mtakatifu kuyaandika yale ambayo kristo alokuwa akiyasema....

Huwa sipatagi kuelewa kwanini kundi fulani la watu wamejikita kumuamini na kuyaamini mafundisho potofu kumhusu Yesu Kristo yaliyoasisiwa na mtu aliyekuja kuishi miaka 600 baada ya kufa Yesu Kristo.

Mathayo, Marko, Luka na Yohana wote wanadai kuwa Kristo Yesu alikuwa ni MUNGU, jamaa anakuja miaka 600 baadaye anasema haikuwa hivyo. Mbaya zaidi ili kuhalalisha kauli yake akasingizia kuwa ameambiwa na Mungu.

Na licha ya hayo yote watu wakapata kumuamini.

Dah! sijui ipo sababu ipi kwakweli?
Hao akina mathayo uliowataja hawakuwahi kumuona yesu,walikuta kaondoka
 
Back
Top Bottom