Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

Hata qiyama ni neno la kufikirika tu. Majibu siku ya qiyama wapi tushachotwa kisaikolojia!! Ni kama tulivyochotwa binadamu wa kwanza alikuwa km nyani
Tunarudi palepale ..amini unavyotaka kuamini na mimi nitaamini ninavyoona inafaa ila sote tutakufa tutajua ukweli wa mambo yote haya.

Kama ikiwa hakuna maisha baada ya kufa basi nitakuwa sijapoteza kitu na wewe pia hujapoteza kitu ILA ikiwa kuna maisha baada ya kufa nitakuwa nimefaulu mtihani wangu wa imani na wewe utakuwa umefeli na malipo ya kufeli si mengine bali ni moto mkali wa jehannam.
 
Makafiri wanachukua vipande vya kwenye mtandao wanaunga hata aya hazipo. Ndiyo maana wenzetu wakisoma Quran huwa. wanasilimu kwa haraka kutokana na uongo wanaoaminishwa mitandaoni kutoonekana kwenye kitabu.
I bet ulikua hata hujui quran ya kwanza kukubaliwa na jamii kubwa ya waislam ilirasmishwa lini,mshukuru sana mfalme wa misri na Al Azhar university kwa hii copy yenu ya mwaka 1924. Kabla ya mwaka 1924 waislam hamkua na kitabu/Quran ya kuwaunganisha, msithubutu kuongea mabaya kuhusu Biblia yenye miaka zaidi ya 1000 wakati kitbu chenu ndio kwanza kimefikisha birthday ya 100 mwaka huu.
 
Umechangaya mambo ya imani na siasa.
Anyway naomba maana ya sinagog
Ndio maana nilikwambia yahitaji utulivu kuelewa hili somo.

Kuna mambo mengi yamegeuzwa na kuleta tafsiri mpya. Si zile za asili.

Tafuta maarifa mapya ili uone zaidi badala ya kujifungia ndani ya box.

Wasome hawa magwiji Orientalist Occidentalist.

Kwa mfano maana ya dini.

Neno dini kabla ya ujio wa yesu lilifahamika kama falsafa. Kwa maana ya mfumo wa maisha. Hii ndio maana ya dini ni mfumo wa maisha. Hivyo hakuna anaeweza kuishi bila ya mfumo wa maisha. Kwa mujibu wa uislam hata upagani ni dini. Kwa kuwa huo ni mfumo wa maisha.

Kwa lugha ingine uislam uko level moja na ukomonist, ujamaa, ubepari, nk but uislam ni mfumo wa maisha alioridhia mungu Mwenyezi.

Sasa ukinambia nachanganya imani na siasa najua. Ushapatwa. Na imani bandia.

Uislam as complete way of life haujaacha kitu. Utawala ni sehemu ya Uislamu, siasa, biashara, uchumi, mfumo wa benk, no

Hivyo kama ilivyo kwa yesu wote walikuja kupingana na utawala wa wawarumi. Jambo muhimu la kwanza ni kupinga utawala. Wewe unaweza kuita siasa. Lkn kama ilivyo kwa Muhammad kazi za mitume ya kwanza ni kupingana na utawala.

Na kuleta fikra za kusimamisha utawala wa mbinguni hapa duniani.

Kama wewe ni mfuasi mzuri wa yesu kazi yako kubwa ni kupinga utawala wenye sheria zinazotungwa na wanadamu.

Uislam pia unataka hilo.

sio kusimama juani kwa kumsifu mungu. Huo ni uzushi.

Hili ni somo kubwa. Yahitaji utulivu.

Sinagogi ukiangalia bible mwishoni utapata maana yake. Ni msikiti wa wayahudi. Si hekalu, si kanisa, ni msikiti.
 
Mohamed alimuona Yesu? Quran ina mix mafaili kwamba mama yake Yesu alikua dada wa Aron msaidizi wa Musa. Quran haisemi Yesu alizaliwa wapi,alitokea kabila gani la Israel. Kwenye Quran haijulikani Yesu alikua na wanafunzi wangapi,wala majina yao .

Kwani maandiko yakiwaita wayahudi "wana" wa Israel inamaanisha kuwa wote wamezaliwa na Israel?.

Siku nyingine jifunze ujue kuwa kuna Undugu wa kiimani vizazi hata vizazi
 
Ok.
Kama kitabu anachotumia mkristo wamelishwa maneno ambayo sio sahihi, naomba nisaidie zaburi, injili na torati sahihi ambazo zimetumika kabla ya qurani (umesema zilikuwepo kabla).

Nikutoe hofu, mimi ni knowledge seeker tu sifungwi na wimbi la imani.
Habari za zaburi na tofati sahihi ni hii Quran

Quran ni mkusanyiko wa zaburi, torati na injili. Na nyongeza au marekebisho madogo ya baadhi ya sheria
 
Ni kweli maana Mudi hana tofauti na mpinga kristu. Kwenye Qur'an alikuja kumuongelea Yesu badala ya kuongea ya Mungu anayemuamini ili waamini wake wasikae kujadili wa imani zingine ndo maana unakuta wanawakamata wanaokula nyakati hizi maana hawajiamini.
Ni kweli huelewi.?
 
mungu anayeabudiwa pamoja na mjini, si shetani huyo? mungu anayesema kuna majini mazuri na mabaya, ni shetani tu huyo, ndio maana mashehe wenu asipokuwa mshirikina hawezi kuwa shehe, wauza dawa za suna, uganga wa kienyeji, ni dini hii, mungu wenu simtaki.
Toa na vifungu vya bible kuthidhitisha hoja zako
 
Habari wana theolojia.

Mathayo, Marko, Luka na Yohana hawa walikuwa ni mashahidi wa macho waliopata kumuona na kumsikia Yesu Kristo, hata baadaye wakapata msukumo kupitia roho mtakatifu kuyaandika yale ambayo kristo alokuwa akiyasema....

Huwa sipatagi kuelewa kwanini kundi fulani la watu wamejikita kumuamini na kuyaamini mafundisho potofu kumhusu Yesu Kristo yaliyoasisiwa na mtu aliyekuja kuishi miaka 600 baada ya kufa Yesu Kristo.

Mathayo, Marko, Luka na Yohana wote wanadai kuwa Kristo Yesu alikuwa ni MUNGU, jamaa anakuja miaka 600 baadaye anasema haikuwa hivyo. Mbaya zaidi ili kuhalalisha kauli yake akasingizia kuwa ameambiwa na Mungu.

Na licha ya hayo yote watu wakapata kumuamini.

Dah! sijui ipo sababu ipi kwakweli?
Someni sana Ili muijue kweli...Kwa kukusaidia tu ukristo na uislam ni Dini ya wazungu na waarabu..hivyo soma Ili ujue wewe mwafrica Dini yako ni ipi?
 
I bet ulikua hata hujui quran ya kwanza kukubaliwa na jamii kubwa ya waislam ilirasmishwa lini,mshukuru sana mfalme wa misri na Al Azhar university kwa hii copy yenu ya mwaka 1924. Kabla ya mwaka 1924 waislam hamkua na kitabu/Quran ya kuwaunganisha, msithubutu kuongea mabaya kuhusu Biblia yenye miaka zaidi ya 1000 wakati kitbu chenu ndio kwanza kimefikisha birthday ya 100 mwaka huu.
Unaongea pumba. Biblia ipi yenye miaka zaidi ya 1000? Mkimezeshwa ujinga mnakuja kupayuku humu.
Angalia biblia iliyokuwa inatumiwa enzi za utumwa ipo makumbusho ya USA.

View: https://youtu.be/lvKUOuYn1-c?si=bHfwPO3sR84f2HYv
 
Habari za zaburi na tofati sahihi ni hii Quran

Quran ni mkusanyiko wa zaburi, torati na injili. Na nyongeza au marekebisho madogo ya baadhi ya sheria
Kwa hiyo huo mkusanyiko ulikuwepo kabla ya quran na bado ukawa ndani ya quran?
Mimi nimetaka ushahidi wa hivyo vitabu kabla ya kujumuishwa kwenye quran.
 
Kwani maandiko yakiwaita wayahudi "wana" wa Israel inamaanisha kuwa wote wamezaliwa na Israel?.

Siku nyingine jifunze ujue kuwa kuna Undugu wa kiimani vizazi hata vizazi
Sijaielewa pointi yako,mimi nilikua nahoji kwa nini Quran haielezi Issa bin Mariam alipozaliwa mpaka tukapata taarifa hizo kwenye Hadith? Hadith ni za wanadamu ambazo zimeandikwa miaka 200 baada ya Mohamed,wakati waislam wanadai Quran tukufu ipo kabla dunia haijaumbwa.
 
Unaongea pumba. Biblia ipi yenye miaka zaidi ya 1000? Mkimezeshwa ujinga mnakuja kupayuku humu.
Angalia biblia iliyokuwa inatumiwa enzi za utumwa ipo makumbusho ya USA.

View: https://youtu.be/lvKUOuYn1-c?si=bHfwPO3sR84f2HYv

Biblia haikuandikwa kwa kiingereza,hiyo ni tafsiri ya kiingereza ambayo imechakachuliwa kufit matamanio yao . USA toka ianzishwe haijafikisha miaka 300 hiyo inakuaje biblia ya kale? Hata mimi naweza kukuletea hapa gender neutral Quran toleo la 2022 ambayo lazima utaikana ukimbilie toleo la mwaka 1924.
 

Attachments

  • Screenshot_20240329_211453_Chrome.jpg
    Screenshot_20240329_211453_Chrome.jpg
    300.7 KB · Views: 1
Back
Top Bottom