mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Kwanini alipitishwa na kamati kuu kama hakua anatakiwa?Huyo kabaki kwasababu Hawa Ghasia hakuwa anatakiwa tena ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini alipitishwa na kamati kuu kama hakua anatakiwa?Huyo kabaki kwasababu Hawa Ghasia hakuwa anatakiwa tena ccm
Walikuwa na target zao, sasa zimetimiaKwanini alipitishwa na kamati kuu kama hakua anatakiwa?
Sasa si ukatoe ushahdHuna hulijualo kaa kimya..watu wanaambiwa fanya juu chini chama kipite sasa hapo unategemea nini.
Hao wasimamizi wa vituo wanayao moyoni ila watafanyeje aliekupa kazi ndio ashasema lakufanya..
Usiamini kila unachokiona,zakuambiwa changanya nazako.
Nasema haya kwakuwa nimeshuhudia mimi mwenyewe wala sikuambiwa..
Kachukue elfu saba yako. Umekula kiulainiMawakala waaminifu walikuwepo na wanakubali kwamba Uchaguzi ulikuwa huru na haki.
Nani kapindua meza ya matokeo mkuu? watanzania sio wajinga, hatukuwa na upinzani isipokuwa vibaraka vya mabeberu, hakuna kitu kilinikera kama akina Zitto na Mbowe waliyokuwa wakiyafanya dhidi ya Taifa katika kipindi cha Corona, na waadhibiwe kisawasawa.Yote kwa yote, laana ni kwa wote waliohusika kupindua meza ya matokeo
Hujajifunza ya Zanzibar? CCM hawaogopi kususiwa.Naendelea kusisitiza japo watakuwa wamekosa kazi Kama chanzo halisi cha mapato kwao, ila binafsi niliwahi kutamani wanasiasa wote wa upinzani wakae pembeni wawaachie hao wanaccm wanaodhani nchi ni yao ili akili zitukae sawa kwanza
😂😂😂😂😂😂😂Wapi Peter Msigwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Point sana hiiMtoa maada upo sahihi kabisa! hii ni mbaya sana kwa ccm na mkuu wao nadhani watamaliza kwa aibu sana, kutakua na mpasuko mkubwa ndani ya ccm yenyewe! vita itakuwa wenye kwa wenyewe sasa.
HahahahaKachukue elfu saba yako. Umekula kiulaini
Mkuu, mawazo yangu yote na siku zote nmemwomba mungu CCM ibaki pekee ili angalao au labda watz waonje machungu ya chama kimoja.Machungu ya kukosa mtetezi kule bungeni. Naamini kuanzia kesho tutaanza kulia na kusaga meno pamoja.NA MUNGU AMESIKIA KILIO CHANGU.Kwanza nitasikitika kwasababu naipenda nchi yangu hivyo Kama mzalendo na agent wa maendeleo siwezi kufurahi kuona nchi yangu inadumaa kwa kukosa mawazo mbadala.
Pili nitafurahi wapinzani makini wakikosa wabunge ambao miaka yote ndio wamekuwa wasemaji wakubwa wa shida za wananchi lakini wananchi hao hao wamekuwa nyuma kuwatetea wasemaji wao hata pale wanapoonewa hadharani.
Mtoto anayemjali Mzazi wake hawezi kuvumilia anaposhuhudia Mzazi wake anadhalilishwa hadharani bila sababu.
Nitafurahi pia kwasababu tangu upinzani uanze kuminywa nchini imekuwa sala yangu kuu kwamba wakae pembeni kidogo ili raia waonje utamu wa nchi hii kutawaliwa bila mawazo mbadala. Labda somo likiwa kwa vitendo litaeleweka kirahisi zaidi.
Nitafurahi tena ili CCM wajionee uhalisia wa nini wapinzani walikuwa wanasaidia na kipi walikuwa hawasaidii katika ku push maendeleo ya nchi hii.
Binafsi naamini Kuna mkakati mahususi wa kuwaondoa wote ndiomaana wameanzia kwa Mbowe.
Laana ni kwa wote waliokubali kwa akili zao timamu kuhusika kupindua matokeo hasa hasa walimu wanaolia shida kila siku lakini kwasababu ya posho ya kusimamia uchaguzi wamesahau vilio vyao na kukubali kuwa sehemu ya kupindua meza.
Labda tukikaa miaka hii mitano bila kelele za wapinzani tutajua ubaya na uzuri wao.
Subirini muone keki ya taifa inavyoliwa 😢😢Nimeona kabaki demu mweupee mmoja huko mtwara vijijini (CUF).
Ila wengine kala vichwa ngoja twende kwenye ndiooooooo
Kabisa mkuu, wapumzike wajipange upyaHao wapinzani makini wapo wapi? Nadhani huu upinzani tulikuwa nao unahitaji kubadilishwa na kuja aina nyengine mpya ya upinzani ambao utakuwa na hoja zenye nguvu na wenye msimamo wenye kueleweka wanachokipinga na sio upinzani unaotegemea tu hasira na chuki walizozijenga kwetu dhidi serikali .
Maana sasa tuna upinzani ambao haushauriki wala kukosoleka,wao wanatuaminisha kila kitu kibaya na makosa hufanywa na ccm tu ila wao kwa sababu ni upinzani basi kila kitu kwao ni perfect.
Acha iliweeee hamna jinsi, ngoja tukomae kivyetu nchi ina wenyewe na ni CCMSubirini muone keki ya taifa inavyoliwa 😢😢
Mbona unajitenga bila kutenga sasa, kuikosa dola sio kesi maana hata waliopata wangekosea hesabu wakaikosa wangetulia tuu.Acha iliweeee hamna jinsi, ngoja tukomae kivyetu nchi ina wenyewe na ni CCM
Mbona unajitenga bila kutenga sasa, kuikosa dola sio kesi maana hata waliopata wangekosea hesabu wakaikosa wangetulia tuu.
Siasa sio chuki sisi sote ni watoto wa mamatanzania.. Sasa tusimame, tushikane kujenga
Ayaa vizuri maendeleo hayana chama, ila 2025 msije sema hapa kulikuwa na mpinzani ndo maana hamna hichi. tusubilie Tanzania ya DubaiMbona unajitenga bila kutenga sasa, kuikosa dola sio kesi maana hata waliopata wangekosea hesabu wakaikosa wangetulia tuu.
Siasa sio chuki sisi sote ni watoto wa mamatanzania.. Sasa tusimame, tushikane kujenga nchi yetu.
Maendeleo hayana vyama mkuu
Alipitishwa kwasababu wa cuf naye alipita ikawa rahisi mlango wa kumtoleaKwanini alipitishwa na kamati kuu kama hakua anatakiwa?
Upinzani ni muhimu sana kwa afya ya taifa ila vyama vya upinzani Tanzania ni dhaifu mnooo. Vimechangia sana kulemaza na kupotosha hata hicho wanachokiita demokrasiaAyaa vizuri maendeleo hayana chama, ila 2025 msije sema hapa kulikuwa na mpinzani ndo maana hamna hichi. tusubilie Tanzania ya Dubai