Uchaguzi 2020 Kwanini nitasikitika na kufurahi kwa pamoja wapinzani wa kweli wakikosa mbunge hata mmoja?

Sasa si ukatoe ushahd
 
Yote kwa yote, laana ni kwa wote waliohusika kupindua meza ya matokeo
Nani kapindua meza ya matokeo mkuu? watanzania sio wajinga, hatukuwa na upinzani isipokuwa vibaraka vya mabeberu, hakuna kitu kilinikera kama akina Zitto na Mbowe waliyokuwa wakiyafanya dhidi ya Taifa katika kipindi cha Corona, na waadhibiwe kisawasawa.
 
Acha tufanikiwe sasa maana hayo mabeberu tumeyatoa yote
 
Naendelea kusisitiza japo watakuwa wamekosa kazi Kama chanzo halisi cha mapato kwao, ila binafsi niliwahi kutamani wanasiasa wote wa upinzani wakae pembeni wawaachie hao wanaccm wanaodhani nchi ni yao ili akili zitukae sawa kwanza
Hujajifunza ya Zanzibar? CCM hawaogopi kususiwa.
 
Mtoa maada upo sahihi kabisa! hii ni mbaya sana kwa ccm na mkuu wao nadhani watamaliza kwa aibu sana, kutakua na mpasuko mkubwa ndani ya ccm yenyewe! vita itakuwa wenye kwa wenyewe sasa.
Point sana hii
 
Mkuu, mawazo yangu yote na siku zote nmemwomba mungu CCM ibaki pekee ili angalao au labda watz waonje machungu ya chama kimoja.Machungu ya kukosa mtetezi kule bungeni. Naamini kuanzia kesho tutaanza kulia na kusaga meno pamoja.NA MUNGU AMESIKIA KILIO CHANGU.
 
Hao wapinzani makini wapo wapi? Nadhani huu upinzani tulikuwa nao unahitaji kubadilishwa na kuja aina nyengine mpya ya upinzani ambao utakuwa na hoja zenye nguvu na wenye msimamo wenye kueleweka wanachokipinga na sio upinzani unaotegemea tu hasira na chuki walizozijenga kwetu dhidi serikali .

Maana sasa tuna upinzani ambao haushauriki wala kukosoleka,wao wanatuaminisha kila kitu kibaya na makosa hufanywa na ccm tu ila wao kwa sababu ni upinzani basi kila kitu kwao ni perfect.
 
Kabisa mkuu, wapumzike wajipange upya
 
Acha iliweeee hamna jinsi, ngoja tukomae kivyetu nchi ina wenyewe na ni CCM
Mbona unajitenga bila kutenga sasa, kuikosa dola sio kesi maana hata waliopata wangekosea hesabu wakaikosa wangetulia tuu.
Siasa sio chuki sisi sote ni watoto wa mamatanzania.. Sasa tusimame, tushikane kujenga nchi yetu.

Maendeleo hayana vyama mkuu
 
Mbona unajitenga bila kutenga sasa, kuikosa dola sio kesi maana hata waliopata wangekosea hesabu wakaikosa wangetulia tuu.
Siasa sio chuki sisi sote ni watoto wa mamatanzania.. Sasa tusimame, tushikane kujenga

Mbona unajitenga bila kutenga sasa, kuikosa dola sio kesi maana hata waliopata wangekosea hesabu wakaikosa wangetulia tuu.
Siasa sio chuki sisi sote ni watoto wa mamatanzania.. Sasa tusimame, tushikane kujenga nchi yetu.

Maendeleo hayana vyama mkuu
Ayaa vizuri maendeleo hayana chama, ila 2025 msije sema hapa kulikuwa na mpinzani ndo maana hamna hichi. tusubilie Tanzania ya Dubai
 
Ayaa vizuri maendeleo hayana chama, ila 2025 msije sema hapa kulikuwa na mpinzani ndo maana hamna hichi. tusubilie Tanzania ya Dubai
Upinzani ni muhimu sana kwa afya ya taifa ila vyama vya upinzani Tanzania ni dhaifu mnooo. Vimechangia sana kulemaza na kupotosha hata hicho wanachokiita demokrasia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…