round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 345
- 1,145
Watanzania wa asili – Hawa ni watu wa makabila ya kienyeji ya Tanzania kama Wanyamwezi, Wazaramo, Wasukuma, Wachaga, Wahaya, n.k.
Hili suala halina chembe yoyote ya kikabila maana ni uhalisia kama ilivyo kwa wafugaji waliofanikiwa sehemu kubwa ni wasukuma na wamasai, nikisema sehemu kubwa ya wenye makanisa waliotajirika ni wanyakyusa ni uhalisia sio ukabila, nikisema sehemu kubwa ya waliotajirika kwenye mbao ni wakinga ni uhalisia sio ukabila
Nchi yetu imejaa rasili mali nyingi sana na shida nyingi zinazohitaji kutatuliwa lakini makampuni mengi yanamilikiwa na watanzania au wageni wenye asili za kihindi, kiarabu, wakenya, n.k.
Tukija kwa upande wetu bado tunasua sana ila at least wachaga kidogo wamo lakini kwa dhati kabisa niseme katika ngazi ya taifa bado hawafui dafu kwa wahindi, waarabu, n.k.
Hivyo solution ni kuongeza nguvu kwa jamii nyingine, sina maana ya kusema makabila mengine hakuna kabisa wenye makampuni makubwa, wapo lakini ni moja moja au hakuna kabisa.
Makampuni nayosemea ni kama mashirika ya ndege, Makampuni ya utalii, Uchimbaji, n.k, sio kampuni ambazo mtu ana cheo kikubwa serikalini anawapa ndugu zake tenda kiupendeleo
Tatizo nini ?
Hili suala halina chembe yoyote ya kikabila maana ni uhalisia kama ilivyo kwa wafugaji waliofanikiwa sehemu kubwa ni wasukuma na wamasai, nikisema sehemu kubwa ya wenye makanisa waliotajirika ni wanyakyusa ni uhalisia sio ukabila, nikisema sehemu kubwa ya waliotajirika kwenye mbao ni wakinga ni uhalisia sio ukabila
Nchi yetu imejaa rasili mali nyingi sana na shida nyingi zinazohitaji kutatuliwa lakini makampuni mengi yanamilikiwa na watanzania au wageni wenye asili za kihindi, kiarabu, wakenya, n.k.
Tukija kwa upande wetu bado tunasua sana ila at least wachaga kidogo wamo lakini kwa dhati kabisa niseme katika ngazi ya taifa bado hawafui dafu kwa wahindi, waarabu, n.k.
Hivyo solution ni kuongeza nguvu kwa jamii nyingine, sina maana ya kusema makabila mengine hakuna kabisa wenye makampuni makubwa, wapo lakini ni moja moja au hakuna kabisa.
Makampuni nayosemea ni kama mashirika ya ndege, Makampuni ya utalii, Uchimbaji, n.k, sio kampuni ambazo mtu ana cheo kikubwa serikalini anawapa ndugu zake tenda kiupendeleo
Tatizo nini ?