round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 345
- 1,145
- Thread starter
-
- #21
Rudi mwanzo soma post nzima usisome kichwa cha habari unakimbilia ku commentAcha ukabila ndugu yangu
Zuku unaijua vp kuhusu radio free Africa, star tv na kiss FM hizo siyo kampun za wazawa?
Acha ukabila mtumishRudi mwanzo soma post nzima usisome kichwa cha habari unakimbilia ku comment
Ninaijua vizuri sana, Ni kampuni ambayo ilikuwa inaelekea kuzuri lakini sijui wamepatwa na nini, kuelekea mwishoni mwa mwaka jana nilikuwa naona mitandaoni malalamika ya mizigo haifiki, mizigo inachelewa, n.k. nini kinaendelea ?Hivi unaijua mapembelo kago ya wakinga?
Sasa point yako ni nini? Hoja ya Wachagga tu kuwa ndiyo wanaweza kuanzisha kampuni kubwa haina mantikiKwanza kabisa, hao uliowataja kina Marehemu Ally Mafuriki tunatambua michango yao lakini kwa Reginald Mengi ile ilikuwa ni level nyingine, kawa inspire hao kina Mafuriki
Pili hao uliowataja ndio mifano mizuri ya kuwekwa kwenye makundi ya watanzania wengine wa asili ambao jamii zao ni mtu moja moja au hakuna kabisa
Naomba urudi post ya mwanzo soma uelewe, inavyoonekana umesoma kichwa cha habari tu,Sasa point yako ni nini? Hoja ya Wachagga tu kuwa ndiyo wanaweza kuanzisha kampuni kubwa haina mantiki
Hapo ukabila upo wapi, ni sawa nikisema wafugaji waliofanikiwa ni wasukuma, wamasai, n.k. huo ni uhalisia sio ukabilaWachaga ni wafanya biashara wazuri ila huna hoja zaidi ya chembechembe za ukabila boss.
Mkuu, umetumia data gani kama si hisia za kiukabila? umepata wapi data za uzawa za midirectors wa makampuni ya raia wa hii nchi? Tunajua zipo BRELLA ila ni taarifa confidential mno.Hapo ukabila upo wapi, ni sawa nikisema wafugaji waliofanikiwa ni wasukuma, wamasai, n.k. huo ni uhalisia sio ukabila
Nikisema wachungaji walioweza kupiga pesa nyingi ni wanyakyusa huo ni uhalisia sio ukabila
Kampuni kubwa ni za wahindi waarabuITV ni kampuni kubwa?
Je wewe unayo kampuni kubwa 🤣🤣🤣🤣Watanzania wa asili – Hawa ni watu wa makabila ya kienyeji ya Tanzania kama Wanyamwezi, Wazaramo, Wasukuma, Wachaga, Wahaya, n.k.
Nchi yetu imejaa rasili mali nyingi sana na shida nyingi zinazohitaji kutatuliwa lakini makampuni mengi yanamilikiwa na watanzania au wageni wenye asili za kihindi, kiarabu, wakenya, n.k.
Tukija kwa upande wetu bado tunasua sana ila at least wachaga kidogo wamo lakini kwa dhati kabisa niseme katika ngazi ya taifa bado hawafui dafu kwa wahindi, waarabu, n.k.
Hivyo solution ni kuongeza nguvu kwa jamii nyingine, sina maana ya kusema makabila mengine hakuna kabisa wenye makampuni makubwa, wapo lakini ni moja moja au hakuna kabisa.
Makampuni nayosemea ni kama mashirika ya ndege, Makampuni ya utalii, Uchimbaji, n.k, sio kampuni ambazo mtu ana cheo kikubwa serikalini anawapa ndugu zake tenda kiupendeleo
Tatizo nini ?
Unamjua Mwita Gachuma?Yes ninampata ni mfano mzuri wa kuwekwa kwenye makundi ya watanzania wengine wa asili ambao jamii zao ni mtu moja moja au hakuna kabisa
Hamjafika unguja nyinyi mkaona matajiri wa kizanzibar wenye asili za hapahapa.Pia kampuni za watz wa asili kwenye sekta utalii hasa Arusha, hii sekta imetajirisha watu vibaya mno
Wewe bwana wewe!itakuwa wewe ni mtoto wa 2000 umezikuta channel nyingi za TV
Kampuni inaitwa IPP Media ndani yake kuna Itv, EATV (Zamani channel 5), Radio one, Magazeti ya Nipashe, n.k.
Radio one na Channel 5 (Zamani iliitwa eatv) wamesaidia sana kuisambaza Bongo Flava ndani na nje ya nchi
Mmiliki alikuwa Reginald Mengi (RIP), ndie Mtanzania wa asili pekee aliewahi kuingia kwenye top 10 ya matajiri wa nchi
ITV nina uhakika ni ya familia ya Mengi.ITV? Unauhakika?
Kuna familia nyingi za watanzania wa asili zina connections serikalini ni ngumu kuwekewa vikwazo wala kuhangaishwa kwenye process za kufungua viwanda, taasisi, kampuni, n.k.Changamoto kubwa ni mchakato wa ufanikishaji, urasimu kwa wazawa inaweza kuwa ni mkubwa sana.
Kampuni, kiwanda , au taasisi huanzia chini kabisa na kukuwa kadri ya mazingira yanapokuwa rafiki.
Unfortunately vikwazo vinakua vingi kwa wazawa ndio maana ni wachache sana .
Nguvu ya ziada inahitajika kwa jamii zingine kama kumi hivi ili tufike mahali pazuri, peke yao hawaweziWachaga wamedominate kiukweli
Amekuwa locked in mindsetYa
Yaan huyu huenda hata majizo wa efm hamjui yaan hata diamond na wasafi yake hamjui jaman yaan hata mwenye crown naye pia hamjui yeye anajua wachaga tu