Kwanini nje ya wachaga ni nadra kukuta kampuni kubwa za watanzania wengine wa asili ?

Mwazo niliposoma kichwa cha habari niliona kana kwamba kimejawa na ukabila, lakini baada ya kusoma maelezo yote nimekuelewa, mkuu. Kuna jambo la kujifunza hapo.
 
Kweli wewe hujui unalolisema. Zanzibar maisha expensive sana uliwah kusikia wapi sehem ina maisha expensive hela ikawa ngumu kupatikana?
Maisha expensive kwa Watalii wanaokuja kulala kwenye Hoteli zao na Wazanzibar hawana utamaduni wa kuspend, Zanzibar Maisha siyo Magumu kama unafanya kazi na kazi za kule siyo za Professional kazi nyingi ni za Vibarua vya ujenzi na za hotelini mishahara yao laki tatu tu kwa mwezi, na kule Zanzibar Wenye Mahoteli ni Wazungu na Wazanzibar kwenye sekta ya Utalii wao wanachopata ni kuwa Masuplier wa Samaki na matunda na bora bora tu. Tofauti na Tanganyika kweye Sekta ya Utalii hatupo nyuma, Wazanzibar wapo Nyuma sana kwenye Mambo ya uwekezaji sehemu nyingi wamewekeza Wageni wao wanebakia kurogana tu.
 
Ukileta ukabila ni spana Tu nimeappreciate comments za wadau wengi walikemea ukabila kwa nguvu zote
 
Hujui unachokisema mkuu pita kule..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…