Kwanini NMB wanapenda kupangisha foleni

Kwanini NMB wanapenda kupangisha foleni

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
8,586
Reaction score
11,227
Ndugu zangu mtakuwa mashahidi nchi nzima hii benk imekithiri kwa kupangisha watu foleni.

Si mimi tuu hata msanii wa miondoko ya kufoka foka hapa nchini aliwahi kusema.

Tarehe 30/06 Tawi la kyela nilitumia masaa matatu mpaka kufika dirishani. Kuna muda nahesabu watu wapo kama 130 katika foleni achilia mbali wale walio keti kungoja foleni isogee.

NMB huweka madirisha matano hadi sita ya kuhudumia wateja lakini mara nyingi muhudumu huwa mmoja au wawili.

Ni kipi huchangia huduma za bank hii kuwa duni? Nani yupo nyuma yao?
 
Ndugu zangu mtakuwa mashahidi nchi nzima hii benk imekithiri kwa kupangisha watu foleni.

Si mimi tuu hata msanii wa miondoko ya kufoka foka hapa nchini aliwahi kusema.

Tarehe 30/06 Tawi la kyela nilitumia masaa matatu mpaka kufika dirishani. Kuna muda nahesabu watu wapo kama 130 katika foleni achilia mbali wale walio keti kungoja foleni isogee.

NMB huweka madirisha matano hadi sita ya kuhudumia wateja lakini mara nyingi muhudumu huwa mmoja au wawili.

Ni kipi huchangia huduma za bank hii kuwa duni? Nani yupo nyuma yao?
Bora wewe,me kuna siku nimekaa saa nzima na mbele yangu walikuwa watu wanne tu kwenye foleni. Nadhani moja ya sbb wafanyakazi wao ni wazee,hawana kasi kbs.
 
Ukiona mtu anapanga foleni kuchukua hela tafakari sana hebu jiulize anazihitaji sana au haamini kama mwezi umeisha naapata chake alafu uone ugumu wa hawa wafanyakazi maisha yao ile hela anayotoa ishaisha ikiwa bank mikopo, mitaani pia mikopo bado anamajukumu kibao. Ndugu zangu tujitahidi bila kuwa na kitu cha ziada asee bado tunaendelea kuishi enzi za ukoloni kiufupi tunasindikiza waliona vyao.

Imagine mtu anapokea 5-9m tu atapanga foleni?
kipato ni heshima
 
Mtoa mada umeleta hoja yenye mashiko sana. Benki nyingi nchini ikiwemo hii ya NMB, zinawatesa sana wateja wao kwa kuwaweka kwenye foleni kwa muda mrefu, na bila ya sababu za msingi.

Maana unaweza kwenda benki na kukuta madirisha madirisha 5 ya kutolea huduma. Lakini cha kushangwza unakuta ni madirisha mawili pekee ndiyo yana wahudumu. Halafu mengine unakuta yako tu wazi, huku wahudumu wakizunguka zunguka tu.
 
Ukiona mtu anapanga foleni kuchukua hela tafakari sana hebu jiulize anazihitaji sana au haamini kama mwezi umeisha naapata chake alafu uone ugumu wa hawa wafanyakazi maisha yao ile hela anayotoa ishaisha ikiwa bank mikopo, mitaani pia mikopo bado anamajukumu kibao. Ndugu zangu tujitahidi bila kuwa na kitu cha ziada asee bado tunaendelea kuishi enzi za ukoloni kiufupi tunasindikiza waliona vyao.

Imagine mtu anapokea 5-9m tu atapanga foleni?
kipato ni heshima
Mshana Jr uje uone picha ya 92 jerrie huku
 
Ndugu zangu mtakuwa mashahidi nchi nzima hii benk imekithiri kwa kupangisha watu foleni.

Si mimi tuu hata msanii wa miondoko ya kufoka foka hapa nchini aliwahi kusema.

Tarehe 30/06 Tawi la kyela nilitumia masaa matatu mpaka kufika dirishani. Kuna muda nahesabu watu wapo kama 130 katika foleni achilia mbali wale walio keti kungoja foleni isogee.

NMB huweka madirisha matano hadi sita ya kuhudumia wateja lakini mara nyingi muhudumu huwa mmoja au wawili.

Ni kipi huchangia huduma za bank hii kuwa duni? Nani yupo nyuma yao?
Mnapanga foleni mnaenda kutoa bulk money au ni kitu gani hasa? Wabongo tunapenda kuonekana tumeingia Bank,
 
Mtoa mada umeleta hoja yenye mashiko sana. Benki nyingi nchini ikiwemo hii ya NMB, zinawatesa sana wateja wao kwa kuwaweka kwenye foleni kwa muda mrefu, na bila ya sababu za msingi.

Maana unaweza kwenda benki na kukuta madirisha madirisha 5 ya kutolea huduma. Lakini cha kushangwza unakuta ni madirisha mawili pekee ndiyo yana wahudumu. Halafu mengine unakuta yako tu wazi, huku wahudumu wakizunguka zunguka tu.
Unless una peleka.million 50 huko bank au unaenda kutoa.milion za kutosha, au kufanya malipo ya mzigo china. Tofauti na hapo ni ujinga kwenda bank
 
Ndugu zangu mtakuwa mashahidi nchi nzima hii benk imekithiri kwa kupangisha watu foleni.

Si mimi tuu hata msanii wa miondoko ya kufoka foka hapa nchini aliwahi kusema.

Tarehe 30/06 Tawi la kyela nilitumia masaa matatu mpaka kufika dirishani. Kuna muda nahesabu watu wapo kama 130 katika foleni achilia mbali wale walio keti kungoja foleni isogee.

NMB huweka madirisha matano hadi sita ya kuhudumia wateja lakini mara nyingi muhudumu huwa mmoja au wawili.

Ni kipi huchangia huduma za bank hii kuwa duni? Nani yupo nyuma yao?
Hamia Citibank mkuu
Hakuna foleni
 
Mnapanga foleni mnaenda kutoa bulk money au ni kitu gani hasa? Wabongo tunapenda kuonekana tumeingia Bank,
Kwani kwenda bank place ni kutoa pesa tu??
90% ya wanaoingia ndani ni huduma nyingine za kibenki sio kutoa pesa.
 
Usipokubali kubadilika kwa hiyari, utalazimishwa kubadilika, hilo swali la kwanini foleni jiulize wewe mwenyewe kwanza kabla ya kuiuliza mamlaka.

Je kuna umuhimi wa kupanga foleni siku hiyo?
 
Back
Top Bottom