Kwanini NMB wanapenda kupangisha foleni

Kwanini NMB wanapenda kupangisha foleni

Kwani kwenda bank place ni kutoa pesa tu??
90% ya wanaoingia ndani ni huduma nyingine za kibenki sio kutoa pesa.
Nikichogundua kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu huduma za kibenki. Wao wanafikiri wanaopanga foleni wote basi wanataka tu kutoa/kuweka pesa!

Hata hawajui kuna huduma nyingi nje ya hiyo ya kutoa/kuweka fedha. Na mbaya zaidi huduma hizo hazipatikani kwa mawakala.
 
Nikichogundua kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu huduma za kibenki. Wao wanafikiri wanaopanga foleni wote basi wanataka tu kutoa/kuweka pesa!

Hata hawajui kuna huduma nyingi nje ya hiyo ya kutoa/kuweka fedha. Na mbaya zaidi huduma hizo hazipatikani kwa mawakala.
Wachana na hao waliovimbiwa na magimbi
 
Back
Top Bottom