Kwanini NMB wanapenda kupangisha foleni

Kwani kwenda bank place ni kutoa pesa tu??
90% ya wanaoingia ndani ni huduma nyingine za kibenki sio kutoa pesa.
Nikichogundua kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu huduma za kibenki. Wao wanafikiri wanaopanga foleni wote basi wanataka tu kutoa/kuweka pesa!

Hata hawajui kuna huduma nyingi nje ya hiyo ya kutoa/kuweka fedha. Na mbaya zaidi huduma hizo hazipatikani kwa mawakala.
 
Wachana na hao waliovimbiwa na magimbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…