Wakitengeneza mfumo inawezkana..Jukumu kuu la nssf sio kutoa mikopo
Sidhani kama miradi inajengwa na NSSF.lete ushahidi.hawalfu wakipa pesa! miraditutajengaje kwa wakati..?
Hakuna kischowezekana kama mipango ingekua hivyo ila kila chombo kina majukumu yake. Pension funds wana wajibu na kazi zao na banks wana wajibu na kazi zao.wakitengeneza mfumo inawezkana..
Jukumu Lao ni lipi sasa kama hawawezi kuboresha Maisha ya wateja wake na kukuza uchumi wa nchi kwa kutoa mikopo nafuu kwa wateja wake?Jukumu kuu la nssf sio kutoa mikopo
Naupenda ugali ndugu.Sidhani kama miradi inajengwa na NSSF.lete ushahidi.
Hizo bank Nyengine watawakopesha wafanyabishara na watu wengine lakini Bank ya NSSF ni kwa wafanyakazi tu. Nakwambia wakifanya hivi Maisha ya wafanyakazi yataboreka vizuri sana.Hakuna kischowezekana kama mipango ingekua hivyo ila kila chombo kina majukumu yake. Pension funds wana wajibu na kazi zao na banks wana wajibu na kazi zao.
Kama ni kutoa mikopo hata hizo bank zinaweza kutengenezewa mfumo nimefanya hicho mtoa maada anachotamani. Ni swala la maboresho kwa maendeleo tuuJukumu Lao ni lipi sasa kama hawawezi kuboresha Maisha ya wateja wake na kukuza uchumi wa nchi kwa kutoa mikopo nafuu kwa wateja wake?
Hahahaaaa! Inaonekana wewe muoga sana. Usifungwe mdomo ndugu. Tunawajibu wakuikosoa au kuishauri serikali lakini kistarabu.naupenda ugali ndugu..
Nadhani kuwa na product ya watumishi wenye pension nssf kwenye bank ni rahisi pia kuliko kufungua bank mpya ya nssfHizo bank Nyengine watawakopesha wafanyabishara na watu wengine.lakini Bank ya Nssf ni kwa wafanyakazi tu.nakwambia wakifanya hivi Maisha ya wafanyakazi yataboreka vizuri sana
Wewe unafikiri bank hizi za biashara zina moyo huo wa kuwarumia wafanyakazi kwa kuwapa mikopo nafuu wafanyakazi?Kama ni kutoa mikopo hata hizo bank zinaweza kutengenezewa mfumo nimefanya hicho mtoa maada anachotamani. Ni swala la maboresho kwa maendeleo tuu
ukishaandika unafkir wanajua kma ulkuw unaandika huku unatabasam. 🙂Hahahaaaa.inaonekana wewe muoga sana.usifungwe mdomo ndugu.tunawajibu wakuikosoa au kuishauri serikali lakini kistarabu
Kwa hoja yako ni kwamba hiyo NSSF ikifungua benki yake kuwasaidia haitakata makato standard kama ya benki zingine?...
Jukumu kuu la nssf sio kutoa mikopo
Sidhani kama umenielewa nilichokiandika .kabla ya kuropoka ulitakiwa usome kwanza.Kwa hoja yako ni kwamba hiyo NSSF ikifungua benki yake kuwasaidia haitakata makato standard kama ya benki zingine?
Una wazimu nini wewe?
Yaani ajenge benki eti halafu akusamehe costs za kibenki?Halafu benki aendeshe kwa mkojo wako?
Haya Matanzania yanayokaa kila siku kutaka misaada kama hivi ni upumbavu,maana wewe unataka upewe huduma bure bila makato,hayo makato alipie nani?
Inatakiwa viongozi wetu na mashule yetu yafundishe watu kufuta hii notion ya utegemezi na kupenda vya bure on expense on others.
Halafu NSSF ni shirika la bima,biashara ni bima,eti unataka kuipa kazi ya benki tena as if hakuna mabenki special kwa ajili ya kazi za kibenki?
Halafu jitu kama hili linakuja kua kiongozi au mbunge na thinking mbovu namna hii