Kwanini NSSF isiwe na tawi la bank kusaidia wateja wake?

Kwanini NSSF isiwe na tawi la bank kusaidia wateja wake?

Mabenki yako mengi ni sawa.lakini kama NSSF ikiwa na bank Yake sioni dhambi hapo .Hayo mabenki mengine wanaweza kuwakopesha wafanyabiashara,wakulima,wafugaji,wachimba madini,wavuvi ,makampuni etc.woga wa nini.By the way kumbuka kuwa hela za NSSF ni za wanachama so sioni kwanini wanyimwe fursa hii ya kuwa na benki yao.Hizi siyo fedha za serikali au taasi nyengine
Great Sir!!!

Mkuu huyo asikusumbuwe ni malimbukeni katika taaluma...wazo lako hata Dr Dau alipendekeza Mkuu watu wenye upeo na mawazo mbadala Taifa linawahitaji sana ...huyo jamaa hajui hoja yako
 
Siwezi elewa watu wenye mrengo wa kupunguziwa gharama kwendana na wanavyotaka wao

Huo ni ungese

Eti unataka kabisa ianzishwe benki maalumu kwa ajili ya "kusaidia wananchi na gharama"...hivi mnadhani benki zinajiendesha kwa pesa toka mawinguni?

Benki zinajiendesha kwa makato mnayokatwa kupewa huduma za kifedha,hazitoki hewani

Sasa nyie mlivyo majinga mnataka hiyo benki yenu ya utopia isikate hayo makato,ikate mnavyotaka nyie viazi!

Ndio maana Capitalism will never make any sense to you poor people!

Poor people like you wafanyakazi will always never understand capitalism,NEVER!
Njoo Arusha nikuajiri ...wewe elimu yako ni kiwango cha creche...ukiendesha vitz na kamshahara kidogo unajiona matawi ya juu....

watu tunamakampuni mpaka Namibia wewe unaleta ubepari wa kumiliki vitz...

Niko hapa Picnic nagonga Kitu cha Namibia baridiiii ...kapuro wewe
 
1. Huduma za Kibenki Nchini zipo kwa mujibu wa sheria na zinadhibitiwa na BOT.

2. NSSF ipo kisheria na majukumu yake yameainishwa kwenye sheria kuwa ni kusajili wanachama, kukusanya michango, kuwekeza na kulipa mafao.

3. Kwa hapo tu ni wazi kuwa NSSF hawezi kufanya shughuli za kibenki.

4. Kingine cha muhimi, NSSF kwa sasa haishughuliki na watumishi wa umma (kama nimekuelewa mleta mada). Badala yake ni Shirika linaloshughulika na wafanyakazi walio kwenye sekta binafsi pekee.
 
Kama wamewekeza Kwenye mabenki si ni biashara tayari?why not it's own bank?
Kwenye principles za social security protection hizi companies zinatakiwa kuwekeza kwenye Govt bonds, real eastate na capital markets. Kufanya kazi ya benki moja kwa moja ni kuondoka nje ya sheria iliyowaanzisha. And hiyo ndiyo best practice world wide.
 
Duuh.sasa matusi ya nini?huwezi mwelewesha mtu bila matusi? Sidhani kama kuna kitu kinashindikana.
Kumbuka kuwa kuna watu wengi mitaani Hawana ajira.bank hiyo yaweza kuajiri watanzania wengi,yaweza kuchangia kukuza uchumi wa kati etc.unapotoa matusi inaonyesha una conflict of interest.
kijana sio muelewa! sjui anajua hyo benk ya nssf ishaanzishwa..! umeenda far sana, kwani ukisoma comment ukaelewa unahisi utachelewa kuandika.. 🙂
Wanachama wa NSSF mpo wangapi Tanzania hii?

"Bei Nafuu" ni kiasi gani unachosemea?

Maana ni rahisi kuongea generally "Bei Nafuu" blindly tu....weka figures hapa

Kumbuka tozo zote za mabenki ni BOT approved,sio approved na wewe bwana "Salum"!

Wateja wamekandamizwa na nani?benki gani ilishakandamiza mtu gani?

Huwezi costs za benki,hamisha hela weka chini ya kitanda,simple!

Nchi hii kila mtu analalamika kuhusu huduma na bidhaa,mnataka vya bure?Mnataka benki ziendeshwe na mavi yenu?

Ndio athari ya Umasikini uliokufuru huu,kwahiyo kila bei eti "mnaumizwa"!
 
Kwenye principles za social security protection hizi companies zinatakiwa kuwekeza kwenye Govt bonds, real eastate na capital markets. Kufanya kazi ya benki moja kwa moja ni kuondoka nje ya sheria iliyowaanzisha. And hiyo ndiyo best practice world wide.
great thinker👍
 
Mzee nssf walikuwa wanajenga majengo sana tu, pia wamejenga daraja la kigamboni
usingemuelewesha hao huwa wanapenda kubishana tuu! ukitutumia muda kuwaelesha utaishiwa bando.. 🙄
 
Mikopo ya bank muda mwingi haisaidii sana watumishi wa umma au sekta binafsi kwa sababu ya riba kubwa.

Sasa kwa sababu watumishi huwa ni wateja wa kudumu wa mfuko huu na kila mwezi wanachangia fedha nyingi, kwa nini NSSF isiwe na bank ambayo itatumika kuwapa mikopo wateja wake kwa riba ndogo sana ili kuboresha kipato cha wateja wake?

Asanteni
wazo zuri
 
Mikopo ya bank muda mwingi haisaidii sana watumishi wa umma au sekta binafsi kwa sababu ya riba kubwa.

Sasa kwa sababu watumishi huwa ni wateja wa kudumu wa mfuko huu na kila mwezi wanachangia fedha nyingi, kwa nini NSSF isiwe na bank ambayo itatumika kuwapa mikopo wateja wake kwa riba ndogo sana ili kuboresha kipato cha wateja wake?

Asanteni
Kwa serikali ya sasa unachokisema hakiwezekani na hakiwezi kuwa..
NSSF ni pesa ambazo kwanza huwa hazichangishwi tu zikakaa pale kisubiri watu wastaafu, bali serikali inazichukua inazifanyia kazi palipo na mapungufu alafu inaaanza kuzirejesha mdogo mdogo kulingana na idadi ya wastaafu...kwa hiyo ukisema iwe bank maana serikali haiwezi kufaidika nazo kitu ambacho ni kigumu sana serikali kukubali ajenda kama hiyo
 
Sidhani kama miradi inajengwa na NSSF.lete ushahidi.

😁😁😁 Bwana mdogo unachekesha sana.
Kuna vitu vingine haviitaji ushahidi wazi hivo kama unavyotaka, kuna vitu vingine ni siri ya serikali, serikali inapochukua hela za NSSF na kuzitumia kwenye miradi mingine usidhani kwamba lazima iwatangazie wateja wake.

Kubali kuwa hizo hela hazichangishwi zikaa tu pale bank, kuna mahali serikali inazihitaji kwa dharura kufanyia mambo yake na huzirejesha kidogo kidogo kulingana na wahitaji
 
Back
Top Bottom