Kwanini Nyalandu alimgaragaza kwa kura za kishindo kwenye kamati Kuu ya CHADEMA aliyekuwa mshindani wake Tundu Lissu?

Kwanini Nyalandu alimgaragaza kwa kura za kishindo kwenye kamati Kuu ya CHADEMA aliyekuwa mshindani wake Tundu Lissu?

Inafikirisha sana!

Kwa mujibu wa yeye Lazaro Nyalandu amedai alipata ushindi wa kishindo dhidi ya aliyekuwa mshindani wake Tundu katika ngazi ya kamati kuu.

Kura nne pekee alizopata Tundu kwenye kamati kuu ni wazi pengine ndani ya CHADEMA upo udikteta wa wazi wa kiongozi wa chama wa kuamua ni nani awe nani na yupi asiwe.

Hii ni kashfa kubwa kwa CHADEMA na Tundu Lissu mwenyewe.

Pia,na kama ni kweli Tundu alionyesha chuki za wazi kwa Lazaro hakika pamoja na kwamba hakuchaguliwa kuwa kiongozi wa Nchi yetu lakini ni bayana hafai kuwa.

Mungu ibariki Tanzania.
Sawa nimesoma, hebu nileteni T Lisu naye nimsikilize kabla sijanawa mikono wajameni
 
Inafikirisha sana!

Kwa mujibu wa yeye Lazaro Nyalandu amedai alipata ushindi wa kishindo dhidi ya aliyekuwa mshindani wake Tundu katika ngazi ya kamati kuu.

Kura nne pekee alizopata Tundu kwenye kamati kuu ni wazi pengine ndani ya CHADEMA upo udikteta wa wazi wa kiongozi wa chama wa kuamua ni nani awe nani na yupi asiwe.

Hii ni kashfa kubwa kwa CHADEMA na Tundu Lissu mwenyewe.

Pia,na kama ni kweli Tundu alionyesha chuki za wazi kwa Lazaro hakika pamoja na kwamba hakuchaguliwa kuwa kiongozi wa Nchi yetu lakini ni bayana hafai kuwa.

Mungu ibariki Tanzania.
Chadema ni mkusanyiko wa watu wenye kupenda dhuluma, wacha Chama libaki na wenye mlengo huo, mwisho wa siku wadhurumiane wao Kwa wao

Kama ulishawahi kumwona bingwa wa utapeli naye katapeliwa!! Ndicho kitakachofuata hapo Chadema

Wataanza kuwindana wao Kwa wao baada ya waliokuwa kwenye riski ya kutapeliwa kukikimbia Chama, watawindana matapeli Kwa matapeli, sjui Nani ataibuka mshindi Kati Yao

Embu wacha tuone huko mwishoni itakuwaje??
 
Chadema ni lichama la hovyo kuwahi kutokea.
Nadhani hatujamwelewa Nyalandu. Kimsingi anamsifia Lissu ambaye ndiye aliyekuwa mshindi kwa asilimia 80, kwa kupata kura 24 kati ya 30. Umejibu bila hata kuelewa nini kinaongelewa
 
Inafikirisha sana!

Kwa mujibu wa yeye Lazaro Nyalandu amedai alipata ushindi wa kishindo dhidi ya aliyekuwa mshindani wake Tundu katika ngazi ya kamati kuu.

Kura nne pekee alizopata Tundu kwenye kamati kuu ni wazi pengine ndani ya CHADEMA upo udikteta wa wazi wa kiongozi wa chama wa kuamua ni nani awe nani na yupi asiwe.

Hii ni kashfa kubwa kwa CHADEMA na Tundu Lissu mwenyewe.

Pia,na kama ni kweli Tundu alionyesha chuki za wazi kwa Lazaro hakika pamoja na kwamba hakuchaguliwa kuwa kiongozi wa Nchi yetu lakini ni bayana hafai kuwa.

Mungu ibariki Tanzania.
Wajumbe walikuwa 30. Tundu akapata kura 24.. Zilibaki ngapi za kumgagaza Lissu hizo za kishindo
 
Inafikirisha sana!

Kwa mujibu wa yeye Lazaro Nyalandu amedai alipata ushindi wa kishindo dhidi ya aliyekuwa mshindani wake Tundu katika ngazi ya kamati kuu.

Kura nne pekee alizopata Tundu kwenye kamati kuu ni wazi pengine ndani ya CHADEMA upo udikteta wa wazi wa kiongozi wa chama wa kuamua ni nani awe nani na yupi asiwe.

Hii ni kashfa kubwa kwa CHADEMA na Tundu Lissu mwenyewe.

Pia,na kama ni kweli Tundu alionyesha chuki za wazi kwa Lazaro hakika pamoja na kwamba hakuchaguliwa kuwa kiongozi wa Nchi yetu lakini ni bayana hafai kuwa.

Mungu ibariki Tanzania.
Nakumbuka Sofia, nchmbi, kimbisa walitoka cc wakidai kanuni zilivunjwa lowassa akakatwa.

Dogo ilikuwa hujabalehe
 
Usianzishe Uzi kwa kukurupuka... Kasikilize vizuri alichosema Nyalandu...
 
Tunaiprenda wenyewe...[emoji446][emoji446][emoji443][emoji443]
Chaguo letu wenyewe[emoji444][emoji441][emoji448][emoji448]
Si bora huko hata alishindanishwa, huko alikokimbilia, mgombea urais aliprintiwa fomu moja tu na aliyeonesha nia ya kumchalenge akafukuzwa chama.
 
Nyalandu gani wa kumgaragaza Lissu kwenye hoja?

Kikwete alisema ni afadhali mimi nisiwe Rais lakini TL asiingie bungeni. TL akipanga hoja zake ni mwiba kwelikweli.
umeendelea kumwamini jk mpaka umri huo hujashtuka!!!

kampokea nyarandu juzi pale dodoma.
 
Back
Top Bottom