Kwanini nyimbo ya Joto Hasira imechuja haraka sana??

Hahahaaa we ni wa ajabu kweli.....kwangu mimi naona nyimbo inazidi ku hit hasa baada ya beef ya ruge......mwezi wa 3 huu n still counting
#team anaconda
 
revo Revocatus Kashaga una matatizo. Umeshuka wapi?
Naona Ruge ameamua kutuma vijana wake JF kumsakama na kumstress Lady JD.
Ruge anaweweseshwa na jinsi ambavyo mashabiki wa jide wanavyoisubiri kwa hamu show ya tarehe 31 May

yeah mara nyingi anakujaga na post za kumcrush JD as if she has never done something good.......,
eerytine I hear #jotoHasira # It just feel as if its a new song,na kama ni home ntaongeza na sauti ya Radio
Usipende kugeneralise everything @revo Revocatus Kashaga
 
akili yako ni finyu sana!

unataka useme mama yako hajachuja!kama ajachuja lete picha yake nikuoneshe alipochuja.
Halafu acha uongo cjatumia digitek lakn huwez niambia unarekodi steshen ambayo huitazami kwa wakati huo wewe ni mburura na ninahakika redio unasikilizia kwenye cmu na kwako hata tv huna hivyo hujui kinachojir!sasa huo wimbo kwangu ni ringtone na zaidi nimeweka baada ya mumeo kukutuma huku
 
akili yako ni finyu sana!

unataka useme mama yako hajachuja!kama ajachuja lete picha yake nikuoneshe alipochuja.
Halafu acha uongo cjatumia digitek lakn huwez niambia unarekodi steshen ambayo huitazami kwa wakati huo wewe ni mburura na ninahakika redio unasikilizia kwenye cmu na kwako hata tv huna hivyo hujui kinachojir!sasa huo wimbo kwangu ni ringtone na zaidi nimeweka baada ya mumeo kukutuma huku
 
akili yako ni finyu sana!

unataka useme mama yako hajachuja!kama ajachuja lete picha yake nikuoneshe alipochuja.
Halafu acha uongo cjatumia digitek lakn huwez niambia unarekodi steshen ambayo huitazami kwa wakati huo wewe ni mburura na ninahakika redio unasikilizia kwenye cmu na kwako hata tv huna hivyo hujui kinachojir!sasa huo wimbo kwangu ni ringtone na zaidi nimeweka baada ya mumeo kukutuma huku
 


Tatizo watu mmekariri sana, sijasema hii nyimbo siipendi au watu hawaipendi jamani?? nilichosema imepunguwa sana kupigwa kwenye media na huo ndio ukweli! jide namkubali na mimi ni mshabiki wake wa ukweli, tiketi nimeshanunua, na nitakuwa nyumbani tarehe 31! nafikiri sapoti ya ukweli ni kununua tiketi ya show yake na sikupiga makelele matupu humu kwenye socia media
 

wewe ni chaja ya kobe.!!!!!
 
umechuja ndio ruge alivyokuambia ukatueleze sisi watu wazma...wewe tukuchoka na topc zako zsizo na kchwa wala miguu za kumchafua jde ulianzia safar ya ruge dodoma ya kutakasa mikono yake ya damu kuptia pm....mwambie ruge wmbo wa joto upo kwenye chat balaaaaaaaaaaaaaaaaaaa tar 31 may tunaisubr kwa ham najua mtaleta thread nyng fek na kna barnaba wafukuzen wakikataa utumwa wa ruge kama mlvyozoea
 

anafikiri anavyofikiri yeye ndio watu wote tunafikiri hivyo.
 
discovery: Do whatever you want in jf but dont you dare critisize or speak lowly of JD... Her fans will kill you...(atleast not literally).
 
discovery: Do whatever you want in jf but dont you dare critisize or speak lowly of JD... Her fans will kill you...(atleast not literally).
hakuna kitu kama hicho labda ambao hawana kazi za kufanya,na usikute bada ya kumshabikia humu jioni wanapitia( kiatu)
chakula kilichobaki pale kwenye kamgahawa kake kanakokaribia kutaifishwa baada ya ile kesi watakayompiga faini kubwa he he he heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!
 
Watu wanashindwa kulielewa hili show ya jay dee sio ya kupambana na mtu au ya kutunishiana misuli ni miaka 13 right au ni miaka 5? Anafanya show ya kutimiza miaka 13 no matter angekuwa ameshaanza mashambulizi kwa Ruge or hajaanza ingefanyika. So hyo shoo iko nje ya mashambulizi japo clouds wametia fitna hadi wasanii wanatishiwa kufukuzwa


Halafu hilo sakata lao kiukweli kwanza unaechangia tambua kwamba wanaochangia mada ni shabiki sio wasanii ambao labda wanaogopa umaarufu wao utapungua kama wakijiachia sana.

My take: JD anasababu ya kufanya alichokifanya na lazima kuna kitu ndio maana clouds inahangaika kumzima, na kabla ya kuanzisha mashambulizi Jd hakuwa na fun wengi kama sasa hvi hyo inamaanisha yuko upande wa haki, clouds inatetewa sana na vijana ambao hawajui ni nini kinaendelea tofauti na kusikiliza vipindi vyao redioni hivyo hawajui ni nn kiko ndani ya boksi

Wazo: kabla hujaanza kushabikia upande wowote bila kujua fikiria kwanza chambua ni yupi yuko sahihi, usifanye tu kwakuwa clouds ikifa hautasikiliza mziki wa bobgofleva kwa vile hujazoea kusikiliza redio nyingine

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…