Kwanini nyimbo za Alikiba huvuja kabla ya muda?

Bwana mapelaa sifaa nyingi za mashabiki ndo maan anatunga vitu vya ajabu ajabu...tulimshauri aombe ushauri kwa bro diamondi wa kimataifa lakin hakutaka kusikia basi wacha aendelee kuwa wa matopeni labda ndo anakupenda
 
Tuacheni unafki hii ngoma ni kali na MI kafanya poa sana
 
acha ushabiki maandaz nmekuona kwenye post ya AY n FA Vs TIGO punguza mahaba ya kishamba masikin ww
 
Ha ha ha, nasubiri video. Hope itakuwa kali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…