mkuu zama zimebadilika M.I hamna kitu cku izi kashafunikwa me hata kwny top 10 rappers bora afrika cwezi kumuwekaNimeusikiliza huu wimbo lakini nimeuona ni wa kawaida sana..Ukilinganisha na Mwana,Lupela na Chekecha cheketua nadhani hii ameifanya chini ya kiwango..Yani humu naona amegeuka Mutu ya Kongo...Anataja majina ya watu tu..
King Kiba ni msanii mwenye uwezo mkubwa naamini anaweza kufanya zaidi ya alichokifanya..Ukirudi kwa MI naye sijui hata amefanya nini humu...Ukiniambia nikutajie best rapper 3 kwa Afrika sitaacha kumtaja MI..Jamaa anajua
Niliposikia Kiba ana ngoma na MI nilitegemea kitu kikubwa zaidi..Lakini alichokifanya humu huyu jamaa hata underground yeyote wa Tz anaweza kukifanya...Sasa sijui alilazimishwa kushiriki kwenye hii ngoma ama vipi..Nwei ngoja nisubiri video..Uenda itanibariki
Nadhani unanichimba.mtu kama wewe wakupuuzwa.Acha kumtegemea bwashee
Kiukweli hakuna wimbo hapo ni wa kawaida sana.Ngoja nikae kimya wasije niita nina roho mbaya. Kwa kweli aliyemroga huyu kijana ameshakufa. Acha dunia isonge mbele.
Hapana mkuu, hata wajinga huwa wanazidiana ujinga wao, na ndo nyimbo za Ally zilivyo!Dahhh, sijui kiba ana mkosi gani yani wasiompenda kila akitoa nyimbo mpya wanaziita zile zilipita ni kali na wakati waliziponda pia, wakati inatoka lupela ikawa mbaya bola ya chekecha, wakati inatoka chekecha ikwa mbaya bola mwana......!! Kwa mtindo huu nazani kiba hajawahi kutoa ngoma kali ss
[emoji23] [emoji23]Basi nyimbo yake nzuri sana tena sana,vipi bado unanidai nitunge yangu ???
[emoji23] [emoji23] we ni mwana Yanga kabisa asee!Bwana mapelaa sifaa nyingi za mashabiki ndo maan anatunga vitu vya ajabu ajabu...tulimshauri aombe ushauri kwa bro diamondi wa kimataifa lakin hakutaka kusikia basi wacha aendelee kuwa wa matopeni labda ndo anakupenda
Hahahaha[emoji23] [emoji23] we ni mwana Yanga kabisa asee!
Demo hatari hivi. .yenyewe si itakuwa balaa maana ile verse ambayo katambaa na kifaransa unaweza ukatukana kwa kumkubali
Nimeona sehemu ya video ina quality nzuri sana ila kuna kosa lingine litamgharimu M. I hayupo kwenye kichupa... Tayari kashawapa watu cha kuongea, makosa ya kujitakia kwenye ushindani alionao hakutakiwa kuruhusu.Ni kwa sababu hazina na hazijawahi kuwa na ubora haswa upande wa video
Nimeona sehemu ya video ina quality nzuri sana ila kuna kosa lingine litamgharimu M. I hayupo kwenye kichupa... Tayari kashawapa watu cha kuongea, makosa ya kujitakia kwenye ushindani alionao hakutakiwa kuruhusu.
Hakuna wimbo hapo kawaida sana sijaona wimbo wa kushindana na mawe kama moyo mashine, kwetu au siwezi.... Ni wimbo ambao ungekuwa enzi za kutoa album tungeukuta tu kwenye album.