Kwanini Nyimbo za Diamond Zinawahi Kuexpire?

Tumesha mchoka tumesha mzoea, mke tu unamchoka kupiga pupuchi kila siku. Chakula ukila aina moja kila siku unakichoka.
 
Unaposema Halleluya inapambana na Seduce Me sikuelewi, mbona naona kama Seduce me ishapitwa mbali views na Zilipendwa? Mi nilizani ungesema Halleluya ndio unashindana na Zilipendwa
 
Simbaa toka mbuga ya tandalee naona swala wanaforce ili tufanane kwangu [HASHTAG]#eneka[/HASHTAG] bado mpya kabisaa
 
Kiasi cha wiki 2 zilizopita, Sedume Me iliizidi Zilipendwa kwa Views laki 9 lakini hapa tunapoongea, Zilipendwa imeizidi Seduce Me kwa Views Laki 4.

Sasa kwa akili yako, ni ngoma ipi hapo inayowahi ku-expire?!

And remember, Youtube mtu anaenda kwa mapenzi yake wakati redioni au tv ngoma inasikika kwa mapenzi ya DJs na ukiweza kuwakamata huko, ngoma yako itasikika tu!!!!
 
Ile ni biashara kwa hiyo yeye ndio anajua Zaidi,Je mpaka zinaexpire anakuwa amepata hasara au faida?
 
Pepo mchafu kwendraaaa tokaaaa! na wewe toa zako umekatazwa?
 
Kwanini watanzania mnataka diamond aporomoke kisanaa na kwisha kabisa ??
 
Tuma salaam kwa watu watatu
 
Mkuu naomba ubadili hyo avatar yako.....kila nkimuaona huyo bint na_seduceka sana....J 'she's killing me softly.
Mkuu najilinda na watu wasiojulikana waliojazana TCRA wakiona hivyo wanajua mkwewe na mzee wanakuwa na adabu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sie hatuna minongo'ono mkuu munananong'ona nyie mahators wake
 
Nyimbo zake ni bazoooka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…