Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
hapo sasa ndomambo ya demand n supply yanapoingia,ushuru wa bandari kwa imported materials kwa viwanda vya ndani na imported goods,thamani ya pesa pia inachangia mkuu mengineyo wengine wataongezaKwanini? Iweje nchi nyingine gharama za ujenzi ziwe chini?
Bei za hivyo viwanja sasa!? Sehem kama Madale wanauza sqm moja kwa sh. 45,000 mpaka 50,000 maana yake kiwanja cha 20x20 unakipata kuanzia million 18 mpaka 20mNunueni viwanja mjenge kwa kujikadiria tu kununua nyumba ni umbuumbu tu
Mbona huo ni mshahara wa mtu wa miezi 2 mkuu tafuta hela tuBei za hivyo viwanja sasa!? Sehem kama Madale wanauza sqm moja kwa sh. 45,000 mpaka 50,000 maana yake kiwanja cha 20x20 unakipata kuanzia million 18 mpaka 20m
Natafuta kaka bado sijazipata tuMbona huo ni mshahara wa mtu wa miezi 2 mkuu tafuta hela tu
Udalali ni kazi ya laana aisee...Cha ajabu mvua ikinyesha kidogo mnatafutana pa kupitia kwa gari au miguu yani nchi ngumu sana hii [emoji1787]
Ok sawasawa 🆗🙂Natafuta kaka bado sijazipata tu
Mwenyewe Kabisa Anataka 18, Ww Umeongeza 7 Duuuh[emoji850]JAMANI NINA ENEO LANGU LIKO KIBAHA KWA MFIPA JIRANI NA SEC. NALIUZA. LINA UKUBWA WA NUSU HEKA. KUNA BOMA LA NYUMBA YA VYUMBA 3 VYOTE MASTER. SEBLE JIKO NA DINING. NIMEEZEKA VYUMBA 2. NA VYOO VYAKE TAYARI VINATUMIKA LINA TANK YA CHINI YA KUBUNIA MAJI LITA ELFU 3000.
NATAKA ML. 25
MM NDIO MMILIKI.
0685223804View attachment 2570895View attachment 2570897View attachment 2570898
Shughuli inaazia kwenye kodi. ..kodi za material's nikubwa kitu cha elfu 20 online nje,kikija bongo kinauzwa mpk laki 1..huwezi kua sawa hapaKwanini? Iweje nchi nyingine gharama za ujenzi ziwe chini?
Ndo hivyo watu walivyo.Nyumba za ovyo sana, yaani nyingi zinazouzwa ni kama mmiliki kaisusa au kaitelekeza.
Ingia ndani jikoni na vyooni mpaka kinyaa. Nje mazingira ya ovyo.
Nenda kasome bandiko la bei aliloweka dalali sasa wizi mtupu
Aisee yaani sio hizo tathmini zinafanywa na nani?Kununua nyumba Babati kwa 350M ni ujinga uliotukuka. 🤣